FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Ushangiliaji wenye hamasa ni sauti halisi za watu na sio kelele zisizo za mpangilio za vuvuzela. Kumbuka Hawa ndio waligundua haya madude lakini wamepona ni ujinga. Mashirikisho mengi ya mpira wa miguu duniani wamepiga marufuku huu upuuzi. Bongo unakuta dume Zima linapuliza vuvuzela,
Vuvuzela usipokuwa makini ukipuliza kuna upepo unatoka kwa nyuma.
 
Yanga anaenda nusu nimegundua mdiomaana mamelodi hua anatolewa kwenye hizi hatua mara nyingi. Siwazuri kuzifungua timu zinazofunga njia kama waarabu.

Waarabu hua nahatari zaidi kuliko mamelodi hata speed ya mpira Mamelodi wanaubishoo bishoo flani hivi
Wanacheza mpira wa kitoto sana,show off
 
Ushangiliaji wenye hamasa ni sauti halisi za watu na sio kelele zisizo za mpangilio za vuvuzela. Kumbuka Hawa ndio waligundua haya madude lakini wamepona ni ujinga. Mashirikisho mengi ya mpira wa miguu duniani wamepiga marufuku huu upuuzi. Bongo unakuta dume Zima linapuliza vuvuzela,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tokea Dar Mamelodi walionyesha kutokubadirika, wanakosa spaces through the lines wanalazimishwa pembeni sehemu ambayo wanatumia zaidi FBs badala ya wingers ( wapo narrow ni faida kwa Yanga )
 
Back
Top Bottom