FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Ushangiliaji wenye hamasa ni sauti halisi za watu na sio kelele zisizo za mpangilio za vuvuzela. Kumbuka Hawa ndio waligundua haya madude lakini wamepona ni ujinga. Mashirikisho mengi ya mpira wa miguu duniani wamepiga marufuku huu upuuzi. Bongo unakuta dume Zima linapuliza vuvuzela,
Hiyo ni style tuliyoamua kwenda nayo kwa sasa hatuwezi kuacha kwa sababu wengine hawafanyi.
 
Timu inashindwa kupigiana hata pasi 3 kwa usahihi ajabu kabisa.
Mbumbumbu
20240401_220208.jpg
 
Hapa inatafutwa sare Tu, ila sijui ni ya bilabila twende kwenye matuta au ya Moja moja Yanga iende Kwa goli la ugenini.

Ila Lomalisa awe makini ameshapewa njano, na Ile Brv refa alikwenda kuangalia ili ampe strait red cad.

Ikiwezekana kocha amtowe Lomalisa kuokowa tusipate red card na Lomalisa asikabe Kwa kuogopa red card.
 
Mako

Makocha wa Ubuntu Botho... Au aingie Fred [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona una kiraru sana? Huna subs upande wako? Au ndo tia maji maji?
Poleeeeeh wee.
 
Back
Top Bottom