Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Hunishindi mimi napenda kuona ukiwa na furahaNimefurahiii kukuonaa sana. [emoji8][emoji8]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hunishindi mimi napenda kuona ukiwa na furahaNimefurahiii kukuonaa sana. [emoji8][emoji8]
Mi .nilikiwa upande wako pia ila basi tuShem acha tu!! 🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa imecheua hatimaye Masambwanda in, Makolokolo tufurahie maisha Utopolo out na Refa ni Man of the Match 05/04/2024 wa Masambwanda SC [emoji1]
Vumilia bhana, mpira ndivyo ulivyo.Naacha kufuatilia mpira
Unanipelekesha sana, kichwa kinauma sijawahi ona hata usingizi hauji
Inabidi ninywe painkiller
Mimi nishaacha na hii ya simba naangalia kama vile sio timu yanguNaacha kufuatilia mpira
Unanipelekesha sana, kichwa kinauma sijawahi ona hata usingizi hauji
Inabidi ninywe painkiller
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tulizana, simba wameshatokaa.Ahly hebu tuwe serious, hawa wakichomoa nakushinda sijui tutaweka wapi sura zetu
#BoraTukoseWote
Mngecheza shirikisho kwa mpira wenu wa kukimbiza mwenge wa 5G. Chap tu fainali😁😁Ufanye mwenyewe 😏😏😏😏
Yaan nna furahaa mnooo mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hunishindi mimi napenda kuona ukiwa na furaha
Refa si kachagua kibahasha, kwani we goli haujaliona 😏Mngecheza shirikisho kwa mpira wenu wa kukimbiza mwenge wa 5G. Chap tu fainali😁😁
Refa huyu ningejitolea kumtandikia khanga wahuni wamle nyama, ashukuru sio kombe la mbuzi 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisaa hatimaye chura kashindwa kumzuia tembo kunywa majiYaan nna furahaa mnooo mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa sahivi nitalala kwa amani.
Tangu kuumbwa kwa ulimwengu leo hii 05/04/2024 umekubali Yanga SC ni Wanaume isipokuwa Refa ndiye kawaua Wananchi [emoji16]MAMELOD tumeumbuka jaman 🫣🫣🫣🫣🫣[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]