FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

Jaribu kuweka mayonnaise ladha itakuja🤣🤣🤣🤣🤣..Mwaka huu lazima mmeze viwembe halafu ndio kwanza hata June bado
Na maisha haya matamu namwachia nani??
Nyie kubalini Mungu alikua upande wenu si kwa kundi hili bovu
 
Naikumbuka comment yako vizuri sana,ulisema ndio yanga lazima wapate goli...

Geoff lea ni mchambuzi mzoefu kidogo lakini nimeshangaa hapa alivyojitoa akili thus why nkasema hawa si bure kuna milungura ya propaganda inatoka,maana kwa Mudy lolote linawezekana kazoea sana propaganda
Yn mm ni simba damu kbs lkn ni shabiki wa mpira. Kimpira ilkw n ngumu sn marumo kumtoa yanga. Sbb kimahesabu tu goli moja la yanga lina faida na niliwaambia watu hta km yanga atafungwa lkn lzm asonge mbele kufika fainali.
 
Back
Top Bottom