Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NIFE?CHUKUA SUMU
Nakuona wehu umekushika hebu mwite mmeo chumbani akupunguzie machungu😂😂Mpk iishe natamani kuwatemea mate hao Marumo...msyuu
UsiFe mtaniNIFE?
Leo shem wetu hatakugusa...Mtani kunywa maji
Usiwe na hasira,unakunywa waini badala ya MO energy ili Boss apate hela msimu ujao asajili,hiyo ni dharau 😀😀Mpk iishe natamani kuwatemea mate hao Marumo...msyuu
Weeeeh!! Ubavu who, which where🤣Mwanamke hakui kwa mwanamme ulitoka ubavuni mwangu😂😂
Huu huu ubavu wangu na nikakubariki😂Weeeeh!! Ubavu who, which where🤣
Hayupo..na yeye Simba damu damu kwanza yy hana moyo kama wangu wa kuangalia tena toka tutolewe..mimi nakomaa... 😆 😆 😆Nakuona wehu umekushika hebu mwite mmeo chumbani akupunguzie machungu😂😂
Usipende kuhitimisha kwa kusikia maneno ya watu na wewe ukayachukua na kuyaaminiHata kama wakiiombea yanga Mungu hawezi kusikilizia maombi yao! Lakini nachojiuliza mimi why they are always negative! Negative negative!,!?
Ujue binadamu wa kawaida ambaye muda wote yupo negative inatakiwa achunguzwe kwa makini unakuwaje negative always mpaka unashindwa kustick kwenye taaluma yako na kujitoa ufahamu hili tu uendeleze ile attitude ya negativity!?
Ok fine tusahau yote ya nyumaya wachambuzi,hivi kwa mchambuzi mwenye akili timamu na mzoefu hivi ni kweli unaweza ukakurupuka na kutoa asilimia chini ya 20 kwa yanga kufuzu fainali baada ya mechi ya kwanza!? Inahitaji upumbavu mwingi sana kufanya hivi,
Suala la yanga kuchukiwa na wachambuz hilo lipo waz halihitaji mashabiki kuaminishwa wala nini kwani wenyewe tunaona ndio km hivi!
Sasa mbona Ligi ya club bingwa hamfiki huku mlikofika leo mnakwama wapi [emoji16][emoji16]Wivu utakuua mkuu,Yanga hii ni bora ndiyo maana unawaona vibonde....... kumbuka wamewatoa Pyramids ya Misri