Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona wapi mapema yote hii?Naona kabisa tunapigwa
Sijajua itakua sheria wale mashabiki wao jau sanahivi ni kwa nini mechi hii inachezwa bila mashabiki?
Hata mashabiki hawaruhusiwi kuangalia mazoezi yenu?MC Algers tupo mazoezini
Yanga hachomeki watoto wanacheza Spanish football kwanza umeona uyo beki wao wakati anayecheza na left foot alivyomtamuUwanja umeinama
Sio mimi niliyeanzisha uzi kaka[emoji1]mmekimbia uzi, tupeni updates
Mbona huleti updates za mechi?Tyee!!! Leo nimewahi kuanzisha thread. Watakaonuna na wanune.
View attachment 3170959
View attachment 3170960
Nastahili kupongezwa kwa mafanikio haya
Umenyimwa na nani wewe subiri shirikisho la Vikoba kesho.Tumenyimwa penati