Haya matamshi ta kilugha huwa siyasikii vizuri, ulipoyaandika walau ndio nimejua yanavyotamkwa, eti dobi dobi πππETI YANGA KUVANUWE WAIYOOOOOβ¦β¦β¦ ππππππππππππππππππππππππππdobi dobiii
Tuwapongeze Uto kwa kujaribu.Tyee!!! Leo nimewahi kuanzisha thread. Watakaonuna na wanune.
Nastahili kupongezwa kwa mafanikio haya:
Mpira umeanza dakika 20 zilzopita. Ingawa MC Alger walianza kwa kasi sana
wakituhsmbulia kwa nguvu sana, tuliwadhibiti na hadi sasa bado tuko level ground ya NUNGE-NUNGE.
Pacome kapata Yellow card
Maadui wanatushambulia sana na wana miliki mpira kwa muda mwingi wao kwa wao lakini tunaendelea kuwadhibiti kabla hatifungua makombora yetu. Mpaka sasa dakika ya 33 hakuna madhara pande zote mbili
Tumeanza kuwawashia moto na naona kama maadui wanaishiwa pumzi kiodgo kidogo. Katika dakika hizi za mwishoni mwa kipindi cha kwanza maadudi wameanza kupagawa kwa hofu kuogopa nyundo linalopigwa na YASC
Sasa ni Half time, ila ineonekana kuwa AC Alger walikuwa nguvu ya Soda tu. Kama Kocha wa Yanga atajua kufanya Sub basi MC Alger watapigwa 0-2, ila kocha wetu akifanya makosa kwenye sub tutaishia ama 0-0 au tutafungwa 1-0 kwa bahati bahati.
Kipindi cha pili Kimeanza: Chama anachukua nafasi ya Azizi Ki. Mchezo umeanza kwa kasi ya kawaida kwa pande zote mbili. Hakuna matokea ya kutisha yalioyotokea katika dakika sita zilizopita tangu kipindi cha pili kianze.
Kuna kipindi waarabu walitaka kutunyanyasa mwanzoni mwa kipindi cha pili lakini tuliwadhibiti. Niwe mkweli Yanga hii inaonekana kuwa dhaifu sana kulinganishia na ile ya misimu iliyopita; sipendi kupata mshituko wa moyo tena.
Tumefungwa bao moja na Abdellahoiui dakiaka ya 64; sasa hivi tuko maji shingoni SUbstitutions za kocha huyu ni dhaifu sana. Alifanya papara ya substitution kabla ya kuona wapinzani watakujaje kipindi cha pili. Dube anatakiwa apewe muda wa kujitafakari kabla ya kupewa ulingo tena.
MC Alger wameleta Kipre Junior anayeijua Yanga vizuri sana
Kuna link hii hapa ya live stream
View: https://www.youtube.com/watch?v=y-68q2j_7ls
Zimebaki dakika chache tu mpira uishe na sioni matumaini ya ushindi tena kwani waarabu wamajizatiitit sana kwenye ulinzi sasa hivi.. Ni dakaika ya 87 sasa
Chama anapata kadi ya njano dakjika moja kabla ya mwisho wa dakika za majeruhi.
Tunadungwa bao la pili katika style ile ile tuliyofungwa na Al Hilal ya Sudan. Tumelaaniwa !! Sasa hivi tutabaki tunaiota robo fainali
Yanga ya sasa wana matatizo mawili makubwa: Ulinzi na ushambuliaji hafifu. Safu ya Ulinzi ni dhaifu, na safu ya ushambuliji pia ni dhaifu. Mzigo mkubwa kwa yanga ni aina ya mikataba waliyowapa wachezaji wao kwani sasa hivi wakiwafukuza watapata mzingo mzito wa kuwalipa bila faida yoyote. Bado ninapumua kwa haraka haraka sana ila siko kwenye drip. Kocha huyu hajui kuisoma timu ya wapinzani kabisa. Mambo mengi, muda mchache ngoja nitafute maji ya kunywa
Mikataba hovyo hovyo si ndo utanzania halisiπ€£Amekuwa kibuli ajui Yanga wamepaita wengi harafu anasajili wachezaji ovyo anawavunjia mikataba tunadaiwa
Wanapitiliza Lubumbashi. Wakipitia bongo watavuta shishaTwende Airport Kuwapokea
Sasa ndio shida hapo,Bado atavinja mkataba na baleke,dube na kocha mwisho wa siku timu inapata hasara tuMikataba hovyo hovyo si ndo utanzania halisiπ€£
Wamewakomesha mnadhani ni kina Ndaragije wanaowabeba ππTyee!!! Leo nimewahi kuanzisha thread. Watakaonuna na wanune.
Nastahili kupongezwa kwa mafanikio haya:
Mpira umeanza dakika 20 zilzopita. Ingawa MC Alger walianza kwa kasi sana
wakituhsmbulia kwa nguvu sana, tuliwadhibiti na hadi sasa bado tuko level ground ya NUNGE-NUNGE.
Pacome kapata Yellow card
Maadui wanatushambulia sana na wana miliki mpira kwa muda mwingi wao kwa wao lakini tunaendelea kuwadhibiti kabla hatifungua makombora yetu. Mpaka sasa dakika ya 33 hakuna madhara pande zote mbili
Tumeanza kuwawashia moto na naona kama maadui wanaishiwa pumzi kiodgo kidogo. Katika dakika hizi za mwishoni mwa kipindi cha kwanza maadudi wameanza kupagawa kwa hofu kuogopa nyundo linalopigwa na YASC
Sasa ni Half time, ila ineonekana kuwa AC Alger walikuwa nguvu ya Soda tu. Kama Kocha wa Yanga atajua kufanya Sub basi MC Alger watapigwa 0-2, ila kocha wetu akifanya makosa kwenye sub tutaishia ama 0-0 au tutafungwa 1-0 kwa bahati bahati.
Kipindi cha pili Kimeanza: Chama anachukua nafasi ya Azizi Ki. Mchezo umeanza kwa kasi ya kawaida kwa pande zote mbili. Hakuna matokea ya kutisha yalioyotokea katika dakika sita zilizopita tangu kipindi cha pili kianze.
Kuna kipindi waarabu walitaka kutunyanyasa mwanzoni mwa kipindi cha pili lakini tuliwadhibiti. Niwe mkweli Yanga hii inaonekana kuwa dhaifu sana kulinganishia na ile ya misimu iliyopita; sipendi kupata mshituko wa moyo tena.
Tumefungwa bao moja na Abdellahoiui dakiaka ya 64; sasa hivi tuko maji shingoni SUbstitutions za kocha huyu ni dhaifu sana. Alifanya papara ya substitution kabla ya kuona wapinzani watakujaje kipindi cha pili. Dube anatakiwa apewe muda wa kujitafakari kabla ya kupewa ulingo tena.
MC Alger wameleta Kipre Junior anayeijua Yanga vizuri sana
Kuna link hii hapa ya live stream
View: https://www.youtube.com/watch?v=y-68q2j_7ls
Zimebaki dakika chache tu mpira uishe na sioni matumaini ya ushindi tena kwani waarabu wamajizatiitit sana kwenye ulinzi sasa hivi.. Ni dakaika ya 87 sasa
Chama anapata kadi ya njano dakjika moja kabla ya mwisho wa dakika za majeruhi.
Tunadungwa bao la pili katika style ile ile tuliyofungwa na Al Hilal ya Sudan. Tumelaaniwa !! Sasa hivi tutabaki tunaiota robo fainali
Yanga ya sasa wana matatizo mawili makubwa: Ulinzi na ushambuliaji hafifu. Safu ya Ulinzi ni dhaifu, na safu ya ushambuliji pia ni dhaifu. Mzigo mkubwa kwa yanga ni aina ya mikataba waliyowapa wachezaji wao kwani sasa hivi wakiwafukuza watapata mzingo mzito wa kuwalipa bila faida yoyote. Bado ninapumua kwa haraka haraka sana ila siko kwenye drip. Kocha huyu hajui kuisoma timu ya wapinzani kabisa. Mambo mengi, muda mchache ngoja nitafute maji ya kunywa
Huku CAFCL nyie ndiyo hakina mama wa huku . Ndiyo Maana Kila mechi mnabakwa sababu mliingia kwenye mashindano yasiyo wahusuHii ni champions League huwezi elewa subiri mechi zenu za kina mama kesho
Yaani Huwa nasikia Raha sana matimu yenu haya ya Wanasiasa yanayobebwa Ligi kuu Kwa kuongea Timu ndogoTuwapongeze Uto kwa kujaribu.
Sasa tuanzishe kampeni, timu ikifungwa kimataifa wanalipia kila goli milion 5.
Tunataka hela zetu zikaboreshe huduma za afya
Sasa imehamia kwenye maajabu ya akina mamaUsiifananishe Simba ya Kimataifa na vitu vya hovyohovyo.
Simba ni timu ya maajabu.
Sindano haziwasumbui..wamezizoeaShekh mbona mapema sana? Tulia sindano iingie vizuri.
I like this gentleman
Khaaa!!!ndo nn sasaYaan hiki kipindi, nimeongezeka kilo.
Yanga wateseke milele, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duke abuy aanaweza sogea hiyo nafasiunahitajika mbadala wa Aucho pale anatucost fainali zile za kombe la shirikisho mechi zote mbili hakuwepo,mwaka jana tulivyocheza na Mamelod hakuwepo mechi zote mbili akacheza nungunungu jonas mkude mwaka huu ndyo kama hvyo mechi hizi zote mbili hayupo.Asipokuwepo Aucho timu inakosa utulivu inatakiwa atafutiwe mbadala
Huyu alishasema hawezi sumbuliwa na wala mihogoakiachia ngazi hali itakuwa mbaya sana zaidi ya hii. Abaki ila asiwe anafanya maamuzi magumu magumu kwa kukurupuka, yeye sio Yanga pekee, awe anashirikisha watu kwenye masuala mazito.
ππππππHaya matamshi ta kilugha huwa siyasikii vizuri, ulipoyaandika walau ndio nimejua yanavyotamkwa, eti dobi dobi πππ
πππUmemsahau prince mpumalelo dube π€£π€£π€£.wapi baleke
Uwasilishaji wa viwango!Tyee!!! Leo nimewahi kuanzisha thread. Watakaonuna na wanune.
Nastahili kupongezwa kwa mafanikio haya:
Mpira umeanza dakika 20 zilzopita. Ingawa MC Alger walianza kwa kasi sana
wakituhsmbulia kwa nguvu sana, tuliwadhibiti na hadi sasa bado tuko level ground ya NUNGE-NUNGE.
Pacome kapata Yellow card
Maadui wanatushambulia sana na wana miliki mpira kwa muda mwingi wao kwa wao lakini tunaendelea kuwadhibiti kabla hatifungua makombora yetu. Mpaka sasa dakika ya 33 hakuna madhara pande zote mbili
Tumeanza kuwawashia moto na naona kama maadui wanaishiwa pumzi kiodgo kidogo. Katika dakika hizi za mwishoni mwa kipindi cha kwanza maadudi wameanza kupagawa kwa hofu kuogopa nyundo linalopigwa na YASC
Sasa ni Half time, ila ineonekana kuwa AC Alger walikuwa nguvu ya Soda tu. Kama Kocha wa Yanga atajua kufanya Sub basi MC Alger watapigwa 0-2, ila kocha wetu akifanya makosa kwenye sub tutaishia ama 0-0 au tutafungwa 1-0 kwa bahati bahati.
Kipindi cha pili Kimeanza: Chama anachukua nafasi ya Azizi Ki. Mchezo umeanza kwa kasi ya kawaida kwa pande zote mbili. Hakuna matokea ya kutisha yalioyotokea katika dakika sita zilizopita tangu kipindi cha pili kianze.
Kuna kipindi waarabu walitaka kutunyanyasa mwanzoni mwa kipindi cha pili lakini tuliwadhibiti. Niwe mkweli Yanga hii inaonekana kuwa dhaifu sana kulinganishia na ile ya misimu iliyopita; sipendi kupata mshituko wa moyo tena.
Tumefungwa bao moja na Abdellahoiui dakiaka ya 64; sasa hivi tuko maji shingoni SUbstitutions za kocha huyu ni dhaifu sana. Alifanya papara ya substitution kabla ya kuona wapinzani watakujaje kipindi cha pili. Dube anatakiwa apewe muda wa kujitafakari kabla ya kupewa ulingo tena.
MC Alger wameleta Kipre Junior anayeijua Yanga vizuri sana
Kuna link hii hapa ya live stream
View: https://www.youtube.com/watch?v=y-68q2j_7ls
Zimebaki dakika chache tu mpira uishe na sioni matumaini ya ushindi tena kwani waarabu wamajizatiitit sana kwenye ulinzi sasa hivi.. Ni dakaika ya 87 sasa
Chama anapata kadi ya njano dakjika moja kabla ya mwisho wa dakika za majeruhi.
Tunadungwa bao la pili katika style ile ile tuliyofungwa na Al Hilal ya Sudan. Tumelaaniwa !! Sasa hivi tutabaki tunaiota robo fainali
Yanga ya sasa wana matatizo mawili makubwa: Ulinzi na ushambuliaji hafifu. Safu ya Ulinzi ni dhaifu, na safu ya ushambuliji pia ni dhaifu. Mzigo mkubwa kwa yanga ni aina ya mikataba waliyowapa wachezaji wao kwani sasa hivi wakiwafukuza watapata mzingo mzito wa kuwalipa bila faida yoyote. Bado ninapumua kwa haraka haraka sana ila siko kwenye drip. Kocha huyu hajui kuisoma timu ya wapinzani kabisa. Mambo mengi, muda mchache ngoja nitafute maji ya kunywa