Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kwani wewe sio Amphibia?Wazee wa dozi huwa mnagombewa kuanzisha uzi kweli vyura wana matatizo mengi yanawazunguuka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe sio Amphibia?Wazee wa dozi huwa mnagombewa kuanzisha uzi kweli vyura wana matatizo mengi yanawazunguuka!
😂😂😂😂Nini kifanyike kipindi cha pili. Naona wazee wamekata pumzi kabisa. Au wakokewe moto
Nidhamu, umakini, kujituma na kukumbushana majukumu hasa eneo la ulinzi ndio itakuwa silaha kubwa leo. Tukishindwa kuyafanya hayo basi tutayaoga magoli mengi. Yale mambo ya kwenda tu mbele kushambulia halafu nyuma kabaki mtu mmoja kocha alifanyie kazi, na kukosa kosa magoli ya wazi nalo ikome hiyo tabia. Timu imekuwa na ubutu wa safu ya umaliziajiSina imani, sina matumaini. Lakini ndio timu yangu, sina budi kuitakia ushindi nisiojua tutaupata vipi!
Mungu atusaidie.
Leo ni mechi ya utangulizi. Show rasmi ni kesho.Saa moja jioni.
Hawa Waenda zao game inaisha midnight ili waamue kabisa kama wanazika au wanasafirisha!!
Wakununu wanune sana dk 90 zinaangukia wananchi kama hivyoYanga 3 - Mc alger 0
Huo uzushi wa kolo na wapika maandaziNow days mnamtegemea Mungu, baada ya sindano kusanukiwa.
2300 hrsMechi ya Simba kesho inaanza saa ngapi?
Nini kifanyike kipindi cha pili. Naona wazee wamekata pumzi kabisa. Au wakokewe moto
HatariSina imani, sina matumaini. Lakini ndio timu yangu, sina budi kuitakia ushindi nisiojua tutaupata vipi!
Mungu atusaidie.
Yanga Daima.Tyee!!! Leo nimewahi kuanzisha thread. Watakaonuna na wanune.
View attachment 3170959
View attachment 3170960
Nastahili kupongezwa kwa mafanikio haya
Hadi atolewe bawasiri dadeqYanga analiwa kinyeo Leo
Saa nne usiku.Game saa ngap kwa saa za Africa Mashariki?
Mnafiki mmoja kwenye 1&2Mimi ni Yanga damu, hii game tunafungwa Wachezaji wetu hawana morale kabisa, wamekata moto mapema. Kwa kifupi tunapoteza na hii.
Turudi na sababu kibao, ooh hali ya hewa oh mashabiki walitoa moshi n.k n.k
Hayo ndio mambo ya chura za msimbazi ama?MC Aliger jipigieni hayo mateja yana arosto ya mwaka mshindwe wenyewe