rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,020
- 3,309
Saa 1Mechi ya Simba kesho inaanza saa ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa 1Mechi ya Simba kesho inaanza saa ngapi?
Adake Diara apigwe tobo tena
Ndio maana huwa nasema kuwa jukwaa la michezo limevamiwa na watu wasiowahi hata kuokotea mipira hivi ni mtu gani mwenye utimamu wa akili aliewahi kucheza mpira ambae hajui kuwa Yanga ilikuwa bora kutokana na quality ya players wake?Now days mnamtegemea Mungu, baada ya sindano kusanukiwa.
Ukweli utakuweka huru🤓Sina imani, sina matumaini. Lakini ndio timu yangu, sina budi kuitakia ushindi nisiojua tutaupata vipi!
Mungu atusaidie.
Hii imekula kwako..!Odd 5 nimempa zangu Mc Alger ashinde kwa laki 5
Kesho naamka na hela nzuri siwazi sikukuu Wala ada ya January
Mkuu baadae usije geuka omba omba nikiweka milioni zangu mbili mfukoni....Hii imekula kwako..!
Na wewe ni Uto?Ukiona mtu anaanza na utambulisho ujue kichwani kuna matope
Sema wanafungwa saa ngapi??Inapigwa Saa ngapi?
Saa moja jioni.Mechi ya Simba kesho inaanza saa ngapi?
Wakati unaadika hili huwenda ulikuwa bado una wenge la usingizi wa alfajiri.Yanga 3 - Mc alger 0
Pole sana. Ni mapito tu. Kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi, na ukijikwaa sio lazima uanguke. Ila mpunguze midomo. Sasa hivi mmekuwa wapolee! Zile mbwembwe za KIKOSI KIPANA, YANGA HII UNAIFUNGAJE..... na yule golikipa wenu mlidai anaweza kudaka hata mishale.. zimefutika kwa ghafla.Sina imani, sina matumaini. Lakini ndio timu yangu, sina budi kuitakia ushindi nisiojua tutaupata vipi!
Mungu atusaidie.
Utopolo 🐸 🐸 🐸 pambaneni msitutie aibuTyee!!! Leo nimewahi kuanzisha thread. Watakaonuna na wanune.
View attachment 3170959
View attachment 3170960
Nastahili kupongezwa kwa mafanikio haya