Bila bilaSaidoooooo kipa kadaka
Huwaoni?Bado mapemaa sana bhana, acha hizo.
Huyo Sarr bora hata mimi. Ifikie hatua tuamini na kuthamini vya kwetu. Ningepewa kati ya Sarr au Kagoma au Kelvin Nashon. Ningechagua Nashon au Kagoma. Professional lazima awe tofauti na aingeze kitu kwa wazawa ila unasajili Mgeni ambaye ni Low Quality.Phiri hatakiwi kubaki Simba msimu ukiisha aende tu kaisha, huyu babacar sarr nae mweupe sana bora aingie Abadala hamis
Refa urojo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba Hadi muda huu....refa hajafanya yake .....
Au anasubiri dk za nyongeza [emoji23][emoji23]
Simba kaliwa na Mlandege midamu tuSsar anapoteza mipira,
Mchezaji wa kawaida halafu mzito sanaSsar anapoteza mipira,
dhaifu kama APRHuwaoni?
yaani wanacheza na timu dhaifu kolowizad. Mpaka sasa Bila bila?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee uto, unajua kujizima data.Huwaoni?
yaani wanacheza na timu dhaifu kolowizad. Mpaka sasa Bila bila?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unatesekaa sanaa.Simba bila refa ni maji maji mtupu ..[emoji23][emoji23]
Huwaoni?
yaani wanacheza na timu dhaifu kolowizad. Mpaka sasa Bila bila?