kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Wastani wa SIMBA kutengeneza CHANCES ni mdogo sana..
Kwa mwendo huu , natabiri SIMBA itakuwa na SARE NYINGI ktk NBC LEAGUE...
Unless wabadilike..
Labda CHAMA akirejea kikosini otherwise sioni nani pale akitengeneza nafasi..
mbwa babaako mbuzi weWee mbwa nn, nitolee ngenga zako hapa.
Nyokooo we.
Ni kweli chama ndie mtu mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi za magoli zaidiWastani wa SIMBA kutengeneza CHANCES ni mdogo sana..
Kwa mwendo huu , natabiri SIMBA itakuwa na SARE NYINGI ktk NBC LEAGUE...
Unless wabadilike..
Labda CHAMA akirejea kikosini otherwise sioni nani pale akitengeneza nafasi..
Madame polepole play fair be positive, huu ni mpira2 wala usiwe na hasiraWee mbwa nn, nitolee ngenga zako hapa.
Nyokooo we.
Utapata taabu sanaa ....na bado hujasema,[emoji23]Mxxiiiiieeeeew em niache.
nshavurugwa hapa, man city washachomesha.
Hapa hata haielewekii
MlandegeHawa tunapiga sio muda mrefu.
MlandegeUtapata taabu sanaa ....na bado hujasema,[emoji23]
Mlatanommmmmmmmmmmmm hapoo bado drw mnamatusi 👋
Mkifungwaaaaa si.....
Saw endelea kuangalia futuhi la viti maalum.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kwenye kugombea walikuwepo, baada ya kuenguliwa kwa kukosa sifa, visingizioo vingiii.
Wydad ni mbovu now Mzee ....hata ihefu anweza ikandaMedeama ipo nafasi ya ngapi kwenye ranks za CAF?levels zake ni sawa na Utopolo tu,Al Ahly ameshindwa kuifunga Simba kwao, Wydad kachezea 2 bila
Tulipeleka kuwafanya majaribioSi mnasemaga mna kikosi kipana
Sameheaneni,,matusi ni dhambi.mbwa babaako mbuzi we
Sawa, haituhusu. Mtajadili huko huko na watu wenuYanga walipeleka kikosi C
kana ukimwi kanakosaje hasira kaka tumzoee.Madame polepole play fair be positive, huu ni mpira2 wala usiwe na hasira
Msimu ujao tutaleta Yanga princessMngepeleka kabisa dada zenu ili mkapata cha kujitetea vzur