FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

Wakati macho na masikio yote Afrika leo yakielekezwa Afcon, kuna makubwa jinga yanawaza kombe mbuzi la Mapinduzi!

Tukiwaita mbumbumbu wanakasirika…
Kanawe miguu ulale
 
Uzuri ni kuwa.... benchika hamtaki Chama .....hapa Sasa ndo patamu

Divide and rule [emoji23] [emoji23]
 
Simba timu yetu tatizo sio makocha wachezaji wengi viwango vya chini mpaka awepo Chama ndio timu inakuwa na chemistry
Usijali tunawanywa muda sio mrefu.
wepesi sana hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…