Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Nilichosema…Umesema??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilichosema…Umesema??
Wale Wahuni WasifikeTangaza kabisa wanayanga wasikanyage hapa maana hii mechi haiwahusu.
Kila la heri mnyama ukatafune ndege wako salama.
Kwenye hii michuano sisi ni giant... Kila tunayecheza nae ni underdog....bahati mbaya ni kwamba mlandege sio polisi tanzania FC
Wakati wewe na ujuha wako ukiwaza bonanza la AFCON kama big deal, kuna wale wako kwenye Emirate wanaenda Uingireza kuicheki NEW CASTLE vs MAN CITY. Usijione mjanja kwenye maisha kuna waliokuzidi tuuuuWakati macho na masikio yote Afrika leo yakielekezwa Afcon, kuna makubwa jinga yanawaza kombe mbuzi la Mapinduzi!
Tukiwaita mbumbumbu wanakasirika…
Mbumbumbu hukuona nimeongelea Afrika pekee? Ningesema dunia ndio ungeleta hayo mambo ya Newcastle na Man City.Wakati wewe na ujuha wako ukiwaza bonanza la AFCON kama big deal, kuna wale wako kwenye Emirate wanaenda Uingireza kuicheki NEW CASTLE vs MAN CITY. Usijione mjanja kwenye maisha kuna waliokuzidi tuuuu
Usisahau j3 una test[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo siku yako ya kutesekaa tenaaa.
Poleeee.
Na umeme wamekata😄😄Leo ni super saturday!
👉🏽Fainal ya Mapinduzi
👉🏽Newcastle Vs Man City
👉🏽Ufunguzi Afcon
Kila la heri kwa Simba Sports🦁🦁🦁
C ndio hapo sasa 🤣🤣🤣Wakati macho na masikio yote Afrika leo yakielekezwa Afcon, kuna makubwa jinga yanawaza kombe mbuzi la Mapinduzi!
Tukiwaita mbumbumbu wanakasirika…
Utakufa kwa kihoro wewe.Nilichosema…
Pole bhanaC ndio hapo sasa 🤣🤣🤣
Birdeater watakula nyingi leo
Dah Leo kumenogaLeo ni super saturday!
👉🏽Fainal ya Mapinduzi
👉🏽Newcastle Vs Man City
👉🏽Ufunguzi Afcon
Kila la heri kwa Simba Sports🦁🦁🦁