EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Kama Simba ilivosaidiwa dhidi ya singida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaa had baas. Hili kombe kuanzia mwaka jana ni limepangwa kubaki hapo.
Hata singida walitolewa makusudi ili aingie mwingne aporwe, na mwakani itakua hvyo.
Refaa kawasaidia sana mlandege,