MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Kosi la Caf hilo πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosi la Caf hilo πππ
Kuna makosa mawili refa ameyafanya yameonekana wazi kabisa, wala hakuna shida.Hata Mie nimewaza hivyo. Wanaiachia timu kubwa ili kuleta mvuto Hadi mwisho. Shabiki WA Simba Hamna haja ya kupaniki leo mlikuwa hamchezi na Mlandege Tu.
Maki Alfo leo atahitaji uangalizi wa karibu maana atakuwa kaumia sana ππππππΏββοΈππΏββοΈmaskiini ndugu zetu wa Simba mnatia huruma mpaka basi, ni kama ile wewe huna kiatu ila mwenzio ana kiatu lakini kimembana hatari hivyo anaumia kuliko wewe uliye peku..!!ππ
Niko Ivory coast tayariiiiHapo zenji hauna habari napo Tena [emoji1787]
Utakua umechanganya madesa.[emoji3][emoji3][emoji3] Mama mchungaji umetumia kinywaji gani leo?
Nipe nimpatie shemeji yako, asiponipiga nayo sijui π€£π€£π€£
Madekio Tayarsasa hizi tutazipeleka wapi?View attachment 2870942View attachment 2870944
Ulivyofanya kwa singida, wewe ni timu ya zanzibari?94' FT
Wazanzibar , hili Kombe Lao Watadoda nalo...
Kampeni zao zipo wazi kbs...
Mjukuu hamna timu pale acha kulaumu refa!Kuna makosa mawili refa ameyafanya yameonekana wazi kabisa, wala hakuna shida.
Hilo kombe ni la kubaki hapo tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera Sana [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Hatukuwa na haja nalo πLeo mnakiri wenzenu walitolewa makusudi?
Mngeshinda mngesema haya?
Ndo hivyooo.Onana nae jinga tu kakosa goli la wazi pale
Makolo kesho utasikia... hatumtaki benchikaKuna watu wanajua kukera,
Kuna mtu Nusura Apasuliwe kichwa hapa,
Yaani anamfuata mshkaji mpka Matkn anampulizia "mliwa puuuuuu" halafu anachekwa kwa dharau..[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12],
Jamaa akaokota jabali, tukamdaka analia, .
Mpira sio Vita.Kuna watu wanajua kukera,
Kuna mtu Nusura Apasuliwe kichwa hapa,
Yaani anamfuata mshkaji mpka Matkn anampulizia "mliwa puuuuuu" halafu anachekwa kwa dharau..ππππ,
Jamaa akaokota jabali, tukamdaka analia, .
Mwanasimba huyo kipigo kimemchanganya labda anafikiri we ni Tayana-wog πππUtakua umechanganya madesa.
Hakii Mlandege wamejua kuaibisha watu wazima leo π€£π€£π€£