FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

maskiini ndugu zetu wa Simba mnatia huruma mpaka basi, ni kama ile wewe huna kiatu ila mwenzio ana kiatu lakini kimembana hatari hivyo anaumia kuliko wewe uliye peku..!!πŸ˜‚πŸ˜‚
Maki Alfo leo atahitaji uangalizi wa karibu maana atakuwa kaumia sana πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ–πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£ huyu refa afungiwe kashindwa kuwabeba aliowababe nusu fainali?, Huyo Sarr ni sawadogo mtupu
 
20240113_223935.jpg
 
Kuna watu wanajua kukera,
Kuna mtu Nusura Apasuliwe kichwa hapa,

Yaani anamfuata mshkaji mpka Matkn anampulizia "mliwa puuuuuu" halafu anachekwa kwa dharau..😜😜😜😜,
Jamaa akaokota jabali, tukamdaka analia, .
 
Kuna watu wanajua kukera,
Kuna mtu Nusura Apasuliwe kichwa hapa,

Yaani anamfuata mshkaji mpka Matkn anampulizia "mliwa puuuuuu" halafu anachekwa kwa dharau..[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12],
Jamaa akaokota jabali, tukamdaka analia, .
Makolo kesho utasikia... hatumtaki benchika

Hatumtaki mangungu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom