Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Hiyo aina yake ya uongeaji sasa. Utafikiri anaghani mashairi. Very boring!Huyu jamaa kama ni psychiatric.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo aina yake ya uongeaji sasa. Utafikiri anaghani mashairi. Very boring!Huyu jamaa kama ni psychiatric.
Sasa wanavyomsikiaHiyo aina yake ya uongeaji sasa. Utafikiri anaghani mashairi. Very boring!
Sijui hua hawa mwambiiHiyo aina yake ya uongeaji sasa. Utafikiri anaghani mashairi. Very boring!
Asantee mtani
siomoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo siku yako ya kutesekaa tenaaa.
Poleeee.
Eeefainali ilitakiwa iwe simba na apr, ila mlandege wamejichanganya, leo wataliwa ndege
EeeeeMlandege wanaamini watashinda hii mechi.
Wanajidanganya!!! Hatarii
EeeeHawa Mlandege mnawaelewa?
Watapigwa sana
kichapo gani??yani goli moja ni kichapo? Mm sikua hewani toka juzi mtani...kwa sbb maalumu..ndo nimerejea leo..Dah! Ahueni umezinduka mtani. Maana mwenzako cocastic mpaka muda huu naandika hapa, hata hajulikani alipo! Aisee kichapo kinauma sana.
Nimefika my one and only brodaa...Naam!
Ushafika 😁😁😁
Pole sis 🤸🏿♂️🤸🏿♂️🤸🏿♂️
Mi sijawahi mkuu....napambana Hadi mwishoWewe unavyokimbiaga za kwako unajifanya umesahau au?
Tatizo lake ni kuiamini timu yake utadhani anawasindikizaga kina mangungo kurogaNdugu yetu Jana alizimia ...kisa kochapo...so tumpe pole sana a@Kalpana
Ndugu michezo ndivyo ilivyo .....don't take too personal
Mudi mwenyewe haiamini Simba ...anaipost pale tu ikipata matokeo+Tatizo lake ni kuiamini timu yake utadhani anawasindikizaga kina mangungo kuroga