uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Imezaa??31'
Simba inapata kona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imezaa??31'
Simba inapata kona
Usitupangie nani awe busy na futuhiWabongo wengi ni ma haters, wakat Simba wanaongoza 2 bila Uzi ulikuwa page ya 62 eti Mtibwa wamerudisha ghafra imefika 102
Nadhani sasa akili zitamkaa sawa, kuna namna hawa wachezaji huwa wanalewa sifa sana na siku zote huwa ni lazima mgema alitie maji tu.Malone kachomesha
😂😂😂 Teh teh.Ndio huyuhuyu ambae yanga wameshindwa kumfunga ndani ya dk180
Relax mwana lunyasi mwenzangu tuangalie mpiraWambea washavamia uzi...
Sifa zikizidi.Mtibwa wameoteaaa...huyu che fondoo anafanya nini mbele huku?
Mbona Inonga mpira huwa haumkatai?Siku Ile na yanga aliwasaidia Sana,bila yeye mngekula nyingi,Kuna muda mpira unamkataa mtu.nikuelewa ili tu
Timu kiujumla IPO safi hasa safu ya ulinzi na forward, ila hapa katikati hawakabi wanachojali ni kutengeneza nafasi za magoli.Tatizo ni timu nzima, kama nilivyosema kuwa timu ni dhaifu ikiwa haina mpira, hata dk 10 hazijapita goli zimerudi zote
Ndio yeye bhana🤣🤣🤣 anadaka mpaka malalamikoJamani huyu si ndio yule kipa wetu Ally Salum. 🤣🤣
HapanaImezaa??
Msifie mtu akifanya vizuriKumbe tulimpa sifa zisizo zake eee? 😂😂
Simba Sc atashinda hii mechi, acha wachangamshe uzi.Wabongo wengi ni ma haters, wakat Simba wanaongoza 2 bila Uzi ulikuwa page ya 62 eti Mtibwa wamerudisha ghafra imefika 102
Unamkataa sana,siku hazifanani,ata yeye Kuna siku anaharibuMbona Inonga mpira huwa haumkatai?
Kwenda huko na wewe na uchambuzi wako ulojaa wivuu...labda chefondoo alikosea kutoka hapo..ila mengine ni wivuu tuu..unaona wivu tuu kwa wachezaji...Tatizizo sio kipa, Tatizo uyo Che fondo anacheza kwa spidi ya konokono, ananyang'anywa mpira watu wanajifungia tu. Ata mpira wa kwanza kabisa kama Mtibwa wangekua watulivu wangefunga goli.
Goli la pili Ndugu Chefondo kapanda mbele, na Mwenzake Kenedy Juma kapanda mbele kati wamemwacha Ngoma ambaye hanambio naye ni spidi ya konokono.
Ki msingi leo tulitarajia simba ashinde kwakua anacheza na timu za mid table lakini mpaka sasa haieleweki itakuaje.
Hizi timu za mid table ndizo Simba uwa wanaonekana tishio ila kule Top four inabidi marefa wa aibike ili Simba ishinde.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Acha masihala kaka,mimi leo nipo Mtibwa kwa mkopo.Jikaze mwana lunyasi mwenzangu
wanasema mcheza kwao......................Mechi ya kuchezwa jamuhuri, wao wanapeleka manungu!!!!!!
PUMBAFU sana.