FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

Malone kachomesha
Nadhani sasa akili zitamkaa sawa, kuna namna hawa wachezaji huwa wanalewa sifa sana na siku zote huwa ni lazima mgema alitie maji tu.

Ni kama yule goli kipa fulani baada ya kutoa penalty moja akaleta dharau kama zile za Martinez wa Argentina, kuchezacheza kwa manjonjo[emoji1].
 
Tatizo ni timu nzima, kama nilivyosema kuwa timu ni dhaifu ikiwa haina mpira, hata dk 10 hazijapita goli zimerudi zote
Timu kiujumla IPO safi hasa safu ya ulinzi na forward, ila hapa katikati hawakabi wanachojali ni kutengeneza nafasi za magoli.
 
Tatizizo sio kipa, Tatizo uyo Che fondo anacheza kwa spidi ya konokono, ananyang'anywa mpira watu wanajifungia tu. Ata mpira wa kwanza kabisa kama Mtibwa wangekua watulivu wangefunga goli.
Goli la pili Ndugu Chefondo kapanda mbele, na Mwenzake Kenedy Juma kapanda mbele kati wamemwacha Ngoma ambaye hanambio naye ni spidi ya konokono.

Ki msingi leo tulitarajia simba ashinde kwakua anacheza na timu za mid table lakini mpaka sasa haieleweki itakuaje.
Hizi timu za mid table ndizo Simba uwa wanaonekana tishio ila kule Top four inabidi marefa wa aibike ili Simba ishinde.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwenda huko na wewe na uchambuzi wako ulojaa wivuu...labda chefondoo alikosea kutoka hapo..ila mengine ni wivuu tuu..unaona wivu tuu kwa wachezaji...
Maelezo marefuuu nonsense...
 
Back
Top Bottom