Mpeni sheikh kwanza pesa yake πππLeo Yanga anashinda mkuuπππ
Niliutafuta baada ya kutouona ndiyo nikaja na uzi huu. Hizo dakika 3 labda ndiyo alikuwa anauandika kwa machungu na kigugumiziView attachment 3165595
Wameshapost kumbe,unazidiana na huu wako kwa dk 2 wao walianza
Tatizo kamdomoo π€«Sijawahi pewa Ban, haitatokea nafata sheria zote za JF. Hii atakayenipa aandae na Mwanasheria wee waponze mods tu. Wapi JF imeandikwa, ukisema upewe Ban mods wakupe? Zaidi tunashinda, byebye watoto wa paka. Acha nikaianze weekend.
#yangabingwa
#since1935
π‘π’π‘π’
hahaha unatia huruma sanaKila la kheri Yanga SC π π π chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara
Naunga mkono hojaSijawahi pewa Ban, haitatokea nafata sheria zote za JF. Hii atakayenipa aandae na Mwanasheria wee waponze mods tu. Wapi JF imeandikwa, ukisema upewe Ban mods wakupe? Zaidi tunashinda, byebye watoto wa paka. Acha nikaianze weekend.
#yangabingwa
#since1935
π‘π’π‘π’
Na kweli wao ndio huwa wana visebu sebu vya kuanzisha nyuzi za yanga.Timu tunayo na tunatamba nayo. Huwa wanakimbilia kuanzisha madomokaya nyinyi wenyewe. Bora mmeichoka, mmetuachia timu yetu. Tutaanzisha lisaa limoja, kabla ya mechi kuanza au dakika chache kuanza. Huu ndiyo utaratibu.
#yangabingwa
#since1935
π’π‘π’π‘
πhahaha unatia huruma sana
Ni kwel nilikosea,huu uzi wa jamaa ndo umeanza,maana wa yanga nimeona umeandikwa dk 8 na huu dk 10Niliutafuta baada ya kutouona ndiyo nikaja na uzi huu. Hizo dakika 3 labda ndiyo alikuwa anauandika kwa machungu na kigugumizi
Ukiomba ban unapewa maana mods wanakuwa wanakidhi hitaji lako.Sijawahi pewa Ban, haitatokea nafata sheria zote za JF. Hii atakayenipa aandae na Mwanasheria wee waponze mods tu. Wapi JF imeandikwa, ukisema upewe Ban mods wakupe? Zaidi tunashinda, byebye watoto wa paka. Acha nikaianze weekend.
#yangabingwa
#since1935
π‘π’π‘π’
Endeleaa kumjaza upepo hivyo hivyoNaunga mkono hoja
π€£π π π kumbeTimu tunayo na tunatamba nayo. Huwa wanakimbilia kuanzisha madomokaya nyinyi wenyewe. Bora mmeichoka, mmetuachia timu yetu. Tutaanzisha lisaa limoja, kabla ya mechi kuanza au dakika chache kuanza. Huu ndiyo utaratibu.
#yangabingwa
#since1935
π’π‘π’π‘