FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Bila makosa ya kibinaduma utopolo hawashindi hii match refa ashatiwa mifukoni wana utopolo ondoe shaka leo mtapata ushindi japo malalamiko baada ya ushindi yatakuepo ila ndio hivo mshashinda kwa kubebwa
Umenikumbusha goli la PAMBA ya Mwanza ilipocheza na mbumbumbu FC..!!
 
Walianza kuhama uwanja, baadae wakahama majukwqa lakini Sasa wamesusa hata kuanzisha Uzi.
Wataibuka walipata goli la kupngoza vinginevyo hawataonekana..
Usijitoe akili, mlihamia uwanja wa Jamuhuri Morogoro, lakini Mbangula hakuwaacha..!!
 
Kina Labani og redio wamechoka na vipigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…