Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Estás loco, ¿o tienes una herida en la cabeza de la que no soy consciente?😃😀Estoy con ustedes hasta que vea su muerte, iy luego volveré a beber cerveza.😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Estás loco, ¿o tienes una herida en la cabeza de la que no soy consciente?😃😀Estoy con ustedes hasta que vea su muerte, iy luego volveré a beber cerveza.😁😁
Ila wewe si ulishahama jukwaa?🤣🤣🤣Simba amefungwa mara nne mfululizo na Yanga
Estás loco, ¿o tienes una herida en la cabeza de la que no soy consciente?😃😀
Apigwe moja au droo. Zikifika 3 wanavunja timu. Leo Aziz Ki asiingie kabisa awe kocha😂😂😂Eee Mungu baba muumba mbingu na ardhi tunakuomba baba siku ya Yale utopolo fc apigwe tena kipigo kitakatifu, kila mtu aseme AMEEN.
Mkuu apate droo ya nini? Akikaidi apigwe tuu.Apigwe moja au droo. Zikifika 3 wanavunja timu. Leo Aziz Ki asiingie kabisa awe kocha😂😂😂
Aisee huu uzi wana Yanga wamenangwa vilivyo kwenye hii comment nimecheka sana aisee, ngoja tuanze kuchanga tule.Mkuu apate droo ya nini? Akikaidi apigwe tuu.
utopolo es ganar hoy😃😀😀Utopolo si te ganan con uno, sabras que soy un amigo loco.😁😁😁
Hawa watu walijitapa mnoo.Aisee huu uzi wana Yanga wamenangwa vilivyo kwenye hii comment nimecheka sana aisee, ngoja tuanze kuchanga tule.
Durooo? Mpaka zifike tano kama Man City!!!Naona droo Leo pale.
Narudi kuitetea YangaIla wewe si ulishahama jukwaa?🤣🤣🤣
Kwani furaha yenu ilienda wapi?Kila la heri kwa Wananchi Young Africans. 💚💛
Ni wakati wenu sasa wa kurejesha furaha kwa mashabiki wenu.
Yanga inaweza ikainuka na kuwa imara zaidi ama ndio ikawa ndio kifo cha moja kwa moja msimu huu. Nafasi wanayo kwa kila mashindano anayoshiriki msimu huu ila mechi dhidi ya Nqmungo na dhidi ya Mc Alger ndio itatoa mwanga juu ya hatima ya msimu wa ligi kuu na klabu bingwa msimu huu. Wanatakiwa washinde mechi zote mbiliHawa watu walijitapa mnoo.
Mkuu zote anapoteza namungo anapiga pale pale kwenye mshono.Yanga inaweza ikainuka na kuwa imara zaidi ama ndio ikawa ndio kifo cha moja kwa moja msimu huu. Nafasi wanayo kwa kila mashindano anayoshiriki msimu huu ila mechi dhidi ya Nqmungo na dhidi ya Mc Alger ndio itatoa mwanga juu ya hatima ya msimu wa ligi kuu na klabu bingwa msimu huu. Wanatakiwa washinde mechi zote mbili
Ipo na tunatamba nayoKwani furaha yenu ilienda wapi?
Akija Tena anakandwaBaada ya hapo
Sawa ngoja tuoneMkuu zote anapoteza namungo anapiga pale pale kwenye mshono.