FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Watu huwa wanaanzisha uzi wa mechi siku moja kabla ila toka YAS (Yanga Atafungwa Saaaana) ianze rasmi kwa vipigo vitatu mfululizo, leo kumekuwa na kigugumizi katika kuanzisha uzi wakati yamebaki masaa machache mechi ianze.

Vyura mmesusia timu yenu? Tunaomba msijidhuru tu maana vipigo vinaendelea kama kawaida.

Binafsi nadhani mnaenda kufungwa mechi 6 mfululizo ndiyo kuna katimu mtakaotea baada ya hapo.
Wakifungwa tena, nitafurahi sana
 
Wachezaji na Marefa Walishapenyezewa Bahasha
IMG_20190109_135206.jpg
 
Huo uzi haukuwepo wakati naandika.

Na hata ungekuwepo, trend ya siku hizi watu wanaanzisha nyuzi usiku, siku moja kabla ya mechi inakuwaje huu umekuja mchana masaa machache kabla ya mechi?

Kwanini usiangalie Uzi umewekwa saa ngapi na wewe umepost saa ngapi? Mambo marahisi tu
 
🤣🤣🤣Kuna watu wanaamini kabisa kuwa Yanga wanapoteza hii game.
Sijui kuhusu matokeo ya mwisho ila naamini Mpumelelo anaendelea pale alipoishia

Mechi ya juzi Afisa Habari wenu aliwaambia mje mmevaa kamba kiunoni, msivyokuwa na adabu wengine mkaja na shanga.

Mechi imeisha watu wanakuja kufanya usafi kwa ajili ya mechi ya kesho wanakuta getini kumejaa makolokolo ya ajabu, mikamba mikamba, mishanga.

Sijajua na mechi ya leo kama kutakuwa na muendelezo wa kampeni "tutafungua vilivyofungwa"
 
🤣🤣🤣Kuna watu wanaamini kabisa kuwa Yanga wanapoteza hii game.
Wenzio wametuliza komwe hawasemi chochote kwa kuwa hawana uhakika kwa wastaafu kutoboa mechi ya leo...

Sasa wewe unajimwambafu hapa utadhani wewe ndio golikipa na mashambuliaji wa Uto 😂😂

Hebu tulia na urudi hapa baada ya mechi kwisha
 
Back
Top Bottom