FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Jali Afya kidogo wakishindwa uchaguzi huwa yakaenda wapi!? Kwa gharama zipi

3.2 Afya
Katika kukabiliana na changamoto za afya vijijini na mitaani, ACT Wazalendo
itafanya mambo yafuatayo;
1. Itaunganisha wananchi masikini na wasio na ajira rasmi: wakulima, wavuvi,
bodaboda, machinga na makundi mengine kuchangia kwenye mfumo wa
hifadhi ya jamii ili kupata bima ya afya kwa wote.

2. Itasimamia uagizaji, usambazaji na upatikanaji wa dawa na vifaatiba
kwenye zahanati na vituo vya afya na hospitali za wilaya kwa wakati na
mahitaji.
3. Itafuatilia kwa ukaribu na kuchukua hatua dhidi ya mienendo mibovu ya
utoaji huduma: lugha mbaya, uzembe, kudai rushwa nakadhalika katika
zahanati na vituo vya afya kupitia kamati za afya.
4. Itanunua na kunyunyiza dawa za kuangamiza vimelea vya mbu ili
kutokomeza malaria.
5. Itapeleka mhudumu wa afya ngazi ya jamii kwenye kila kijiji kufuatilia
mwenedo wa magonjwa, mtindo wa maisha.
5. Itaingia makubaliano na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kujenga nyumba
za madaktari na wauguzi ili kuweka mazingira mazuri vijijini na maeneo ya

pembezoni.


Hatuna maana hiyo tunamaanisha zinalipa..

View attachment 3165974View attachment 3165975View attachment 3165976
Umepotea njia?
 
... anticipation....loaded💯💯
.... Die hard ...loaded 💯 💯
... footwork...loaded 💯 💯💯
....determination..loaded..💯
.... hunger for a win.. 💯
... NIDHAMU..💯💯💯💯

YANGA IMERUDI... HAYA NDO TULIYAKOSA GAME YA WALE WASUDANI...

Tuliumia sana. TUMERUDI.

TUISHI HUMU.
 
Samata was very smart kutohanhaika na hawa mademu milupo ya kibongo.
Unakutana na Gudemu guana-harakati unaingia mkenge na nyota zako gwenyewe gunakupulizia na kukuchota nyota kudadeki. Gwenyewe pia guna tafuta ku-shine kwenye mambo yake kwanini gukuache?
Halafu gunakuweka kichwa mapajani. Gunakorogelezea ugupende gwenyewe kuliko chochote, kuliko hata kazi yako
Mnyalu una laana
 
Kwa hizi sub za Yanga za kumtoa Max, kumuingiza Dubr, unaona kabisa huyu kocha ni kiazi kabisa. Hajui chochote. Labda ashinde hii game, Yanga ikitoka sare au kufungwa, atakiona cha mtema kuni.
Kosa lake lipi? Tatizo la kukariri mfumo wa Gamondi kubebwa na Maxi
 
Ngono na mpira haviendi pamoja maana ngono inakula magoti

Azizi K anaenda kuwa Kama ngasa

Kukosa exposure ni kitu kibaya Sana
Kwa nini hao walezi wake kina Hersi hawakumuonya? Sana sana ndiyo wamemuweka kwenye situation hiyo
 
... anticipation....loaded💯💯
.... Die hard ...loaded 💯 💯
... footwork...loaded 💯 💯💯
....determination..loaded..💯
.... hunger for a win.. 💯
... NIDHAMU..💯💯💯💯

YANGA IMERUDI... HAYA NDO TULIYAKOSA GAME YA WALE WASUDANI...

Tuliumia sana. TUMERUDI.

TUISHI HUMU.
Mechi yenu na MC Alger ndio itatoa majibu.

Namungo mwenye point 3 kwenye msimamo sio kipimo.

Makosa mengi sana mmeyafanya na Namungo wamekuwa shallow kuweza kuyatumia kunufaika.

Bado Yanga ni ile ile
 
Back
Top Bottom