Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Nilishawai kusema uku,Makolo vipigo mfululizo vikianzaa msije na habari za hatumtaki Mangungu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo dirisha dogo wamtoe Aziz Ki akacheze SBSBaleke sijui kwanini hapewi nafasi
Naskia wanataka kumtoa dirisha dogo ili aingie yule jamaa aliyetoka Vyosk
Leo weekend hatujaenda shuleSoma ubao
Pisikali za kibongo tatizo kwa wakujaHilo dirisha dogo wamtoe Aziz Ki akacheze SBS
Dube asugue bench mapaka atakapoondoka
Kuna upuuzi wachezaji wa west africa wameambiana kwamba ukitaka kufanikiwa ligi ya NBC ela utapata na mademu utapata wamekuja kujazana hapa mademu wanawaharibu sana
SBS kumbe ndio dampo lenuHilo dirisha dogo wamtoe Aziz Ki akacheze SBS
Dube asugue bench mapaka atakapoondoka
Kuna upuuzi wachezaji wa west africa wameambiana kwamba ukitaka kufanikiwa ligi ya NBC ela utapata na mademu utapata wamekuja kujazana hapa mademu wanawaharibu sana
Zile points tulizoangusha tunajua pakuzipatiaLeo weekend hatujaenda shule
Simba kafungwa na Yanga. Kwamba Simba nayo inadhaminiwa na GSM?View attachment 3166003
Tunakumbushana tu si kwa ubaya lakini. Katika miaka ya hivi karibuni, uto haijafungwa na timu inayodhaminiwa na GSM. Mngetegemea hilo litokee leo wakati timu iko dhohofu bin hali?
Hongera mtani
At leat saizi mtakuwa na guts za kuanzisha nyuzi saa 00:00
Sema tu kwa Simba kama mlivyozoeaZile points tulizoangusha tunajua pakuzipatia
Unafahamu hizo ni hoja mbili tofauti?Simba kafungwa na Yanga. Kwamba Simba nayo inadhaminiwa na GSM?
Kwa simba na yanga hili jambo halijawaji kuisha.Wazee wa propaganda hampoi. Kila siku mnaibuka na jipya japo ni yaleyale ya zamani
Ewaaah! HaswaaaaSema tu kwa Simba kama mlivyozoea
Sasa zitatoshaEwaaah! Haswaaaa
Gamond alikua anachangia sana kwenye ushindi dhidi ya Simba. Ila kiukweli kama bado tutakua na huyu kocha aseeh mnaweza kuwa na nafasi kubwa kutufungaSimba kumfunga Yanga simpi nafasi kubwa.
Simba ikishindwa kumfunga Yanga kipindi ambacho Yanga inatembeza bakuli. Goli ka Morrison
Sare ya goli mbili ambayo Balama Mapinduzi anapiga shuti kali. Naamini Yanga huwa inajiandaa mara mia kwenye mechi ya Derby kuliko mechi yake yeyote ile.
Mechi ni maandalizi. Nafasi ya kocha kwenye Derby ni ndogo sanaGamond alikua anachangia sana kwenye ushindi dhidi ya Simba. Ila kiukweli kama bado tutakua na huyu kocha aseeh mnaweza kuwa na nafasi kubwa kutufunga