Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Tumeshinda😀😀😃😃😀😀Hakika mtashinda mkuu nimekurupuka usingizi nikaona hivyo🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshinda😀😀😃😃😀😀Hakika mtashinda mkuu nimekurupuka usingizi nikaona hivyo🤗
Kwa hiyo hizi reply zako ulikuwa umeziweka tayari kusubiri matokeo ya mwisho?Gamond alikua anachangia sana kwenye ushindi dhidi ya Simba. Ila kiukweli kama bado tutakua na huyu kocha aseeh mnaweza kuwa na nafasi kubwa kutufunga
Hoja ni kwamba Yanga haijafungwa na timu inayodhaminiwa na GSM. Je mechi ambazo Yanga anashinda zote zimedhaminiwa na GSM.Unafahamu hizo ni hoja mbili tofauti?
Binafsi niseme tu simuamini huyu so called German Machine.Mechi ni maandalizi. Nafasi ya kocha kwenye Derby ni ndogo sana
Usiniambie bado hauoni kuwa hizo ni hoja mbili tofautiHoja ni kwamba Yanga haijafungwa na timu inayodhaminiwa na GSM. Je mechi ambazo Yanga anashinda zote zimedhaminiwa na GSM.
Simple logic unafeli wapi?
😃😀😀😀Sema tu kwa Simba kama mlivyozoea
Si anyooshe maelezo😃😀😀😀
Ukiachana na derby ambayo Ina mambo mengi ndani yake, hoja inamashiko🤔 mbona yanga haifungwi na timu inazozidhamini!?, Ila inafungwa na timu ambazo hawajazidhamini!?.Hoja ni kwamba Yanga haijafungwa na timu inayodhaminiwa na GSM. Je mechi ambazo Yanga anashinda zote zimedhaminiwa na GSM.
Simple logic unafeli wapi?
Sawa.Hongera sana ndugu FALLACIES.....
Wastaafu fc + Wastaafu fc. Unategemea Nini!??Si anyooshe maelezo
🙆Hili jina jipyaWastaafu fc + Wastaafu fc. Unategemea Nini!??
Anashindwa kuliona hilo halafu anapata ujeuri wa kusema "simple logic"Ukiachana na derby ambayo Ina mambo mengi ndani yake, hoja inamashiko🤔 mbona yanga haifungwi na timu inazozidhamini!?, Ila inafungwa na timu ambazo hawajazidhamini!?.
Yaani nikulishe na Bado uniletee jeuri😂😂 lazima uwe mpole.
Hata hivyo Leo ilikuwa wastaafu kwa wastaafu
Ndo linalotrend kwa sasa🙆Hili jina jipya
KabisaSi anyooshe maelezo
Simple logic virce versa.. kwamba huwezi kumlisha mtu halafu akuletee jeuri. Yaani boss wako umfedheheshe 😂utakula wapi!??Anashindwa kuliona hilo halafu anapata ujeuri wa kusema "simple logic"
Ina mashiko ila zinabaki kuwa porojo kwa sababu hakuna aliye na uthibitisho kwamba hayo mambo yanafanyika. Zimebaki kauli za uswahili kama hiyo nikulishe halafu uniletee jeuriUkiachana na derby ambayo Ina mambo mengi ndani yake, hoja inamashiko🤔 mbona yanga haifungwi na timu inazozidhamini!?, Ila inafungwa na timu ambazo hawajazidhamini!?.
Yaani nikulishe na Bado uniletee jeuri😂😂 lazima uwe mpole.
Hata hivyo Leo ilikuwa wastaafu kwa wastaafu
😂Mtaani kwetu Leo heee!! Kama vile kipofu kaona mwezi, full kelele. Yaani tulipumzika week hizi 3, uto wanafujo wafungwe tu tupumzikege keleleKabisa
Dah kwa hiyo hamtaki tushinde😀😀😂Mtaani kwetu Leo heee!! Kama vile kipofu kaona mwezi, full kelele. Yaani tulipumzika week hizi 3, uto wanafujo wafungwe tu tupumzikege kelele