mengine mkuu tunayaleta kwa lengo la kuufungua macho uma katika maswala magumu yanayowakabili. Mimi nikaona nijivike uhusika wa kumchukia mdingi ili ujumbe ufike kiurahisi. Sijui umenielewa The Legacy ?Huyo dogo anamchukia baba yake we utamuweza,hashauriki wala haambiliki.
mengine mkuu tunayaleta kwa lengo la kuufungua macho uma katika maswala magumu yanayowakabili. Mimi nikaona nijivike uhusika wa kumchukia mdingi ili ujumbe ufike kiurahisi. Sijui umenielewa The Legacy ?
Simba anashinda kesho kwa Goli 3mengine mkuu tunayaleta kwa lengo la kuufungua macho uma katika maswala magumu yanayowakabili. Mimi nikaona nijivike uhusika wa kumchukia mdingi ili ujumbe ufike kiurahisi. Sijui umenielewa The Legacy ?
Kwa hiyo tangu aanzishe uzi mpo na yeye tu hamtaki kujadili football 🤣🤣🤣Mh haya,wacha yapite mzee.
Back to football.
0-0draw ya magoli mkuu!
Leo kasema ukweli tumeelewana mkuuKwa hiyo tangu aanzishe uzi mpo na yeye tu hamtaki kujadili football 🤣🤣🤣
Hehehe!!!Leo kasema ukweli tumeelewana mkuu
Kesho ipi?! Mmeanza tena kupotosha, game ni leo sio keshoSimba anashinda kesho kwa Goli 3
The Legacy simba anacheza kesho?Kesho ipi?! Mmeanza tena kupotosha, game ni leo sio kesho
katika mwendelezo wa lLeague ya NBC PL, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:15 jioni
Adui mkaza Shangazi......
GSM ataimbwa sana LeoBaada ya mechi atalaumiwa GSM.
Rejea tathmini aliyotoa mwamba Luc Emayel.alafu nimegundua mnanishambulia sana wakuu! Sijui shida nini,au kuwa mnazi wa Young Africans ?