FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

Huyo dogo anamchukia baba yake we utamuweza,hashauriki wala haambiliki.
mengine mkuu tunayaleta kwa lengo la kuufungua macho uma katika maswala magumu yanayowakabili. Mimi nikaona nijivike uhusika wa kumchukia mdingi ili ujumbe ufike kiurahisi. Sijui umenielewa The Legacy ?
 
katika mwendelezo wa lLeague ya NBC PL, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:15 jioni

Adui mkaza Shangazi......

MkazaShangazi Vs Shangazi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…