Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unajaribu kuelezea kinamna ufedhuli mnaofanya UtopoloniLeo nataka kushuhudia kwa macho yangu maigizo ya Bongo muvi. Yaani Mgunda huyu huyu kocha wetu wa akiba, akubali timu yetu kufungwa! Hata sare tu haipo kwenye mechi ya leo.
Kwa wale wazee wa kubet, hakika leo ni siku yenu ya kuvuna hela. Mpe Simba mazima hata milioni 2. Na hutojutia.
We mbwiga kumbe ni wewe unayemchukia baba yako halafu unatuletea na ugoro humu. Huo muda wa kupost anza kumpenda baba yako kwanza... JF ni darasa..katika mwendelezo wa lLeague ya NBC PL, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:15 jioni
Adui mwombee njaa.
Unataka kuwatoa watu kwenye mjadala.We mbwiga kumbe ni wewe unayemchukia baba yako halafu unatuletea na ugoro humu. Huo muda wa kupost anza kumpenda baba yako kwanza... JF ni darasa..View attachment 3241529
Toa ahadi basi hata ya O.Hamna cha kunifanya, ila mimi ndiyo nina uwezo wa kuwageuza kuwa mijusi.
Jibu hoja kama ni tawi kwanini misimu mitatu mfululizo hatujashinda? Tena tulikuwa tunatangulia kufunga wao ndo wanachomoa?Ni vile tu hambebeki wakati fulani. Ila mwaka huu nadhani mnajitahidi kubebeka. Imagine kwenye mechi 20, penati 16! Na leo tunategemea ziongezeke tena ili Ateba aongoze kwenye ufungaji bora.
Kalaaniwa na baba yake huyo, huwezi kumchukia baba ako halafu ukabaki salama.Unataka kuwatoa watu kwenye mjadala.
Unapoanzisha Uzi uwe unaweka update mkuu katika post yako number 1ungekuwa wewe ndiye moderator ungenipiga ban kabisa, Active atanisaidia kuleta updates usijali,kikubwa mtoe draw tu!
😂😂Huyo dogo anamchukia baba yake we utamuweza,hashauriki wala haambiliki.
mgunda ni sehemu ya simba,na ni mwanachama halali tangu anaichezea tawi la simba Coastal union ya tanga miaka ya 1980`s na namungo ni timu ya waziri mkuu na mnazi wa simba sc. Kuna wachezaji kama erasto nyoni,goal keeper kakolanya na wachezaji waandamizi ni masalia ya simba, so namungo kipgo hakiepukiki, kutokea juu,chini,kushoto, kulia,mbele nyuma ni kipigo. HONGERENI watani kwa ushindi mnono.Ubaya ubwelaaa
View attachment 3241619
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaogopa nn? Si uko kileleni wee? Hujiamini?Leo nataka kushuhudia kwa macho yangu maigizo ya Bongo muvi. Yaani Mgunda huyu huyu kocha wetu wa akiba, akubali timu yetu kufungwa! Hata sare tu haipo kwenye mechi ya leo.
Kwa wale wazee wa kubet, hakika leo ni siku yenu ya kuvuna hela. Mpe Simba mazima hata milioni 2. Na hutojutia.
SBSmgunda ni sehemu ya simba,na ni mwanachama halali tangu anaichezea tawi la simba Coastal union ya tanga miaka ya 1980`s na namungo ni timu ya waziri mkuu na mnazi wa simba sc. Kuna wachezaji kama erasto nyoni,goal keeper kakolanya na wachezaji waandamizi ni masalia ya simba, so namungo kipgo hakiepukiki, kutokea juu,chini,kushoto, kulia,mbele nyuma ni kipigo. HONGERENI watani kwa ushindi mnono.