FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

Leo nataka kushuhudia kwa macho yangu maigizo ya Bongo muvi. Yaani Mgunda huyu huyu kocha wetu wa akiba, akubali timu yetu kufungwa! Hata sare tu haipo kwenye mechi ya leo.

Kwa wale wazee wa kubet, hakika leo ni siku yenu ya kuvuna hela. Mpe Simba mazima hata milioni 2. Na hutojutia.
Tunataka apange kikosi cha kwanza...huo ndo weledi...apenge kikosi kinachocheza siku zote..Simba inakimbilia ubingwa hatutaki kikosi cha tatu...hiko sio saizi yetu..akipanga hiko basi nitaona ni maigizo...
Otherwise kipigo kipo pale pale
 
yeyote anaweza kuanzisha uzi mkuu,ili mradi tu ukidhi vigezo na uwawahi wenzio, sasa natangaza vita,nitakuwa silali mpaka nihakikishe nakuwa wakwanza kila mchezo wa NBC PL hasa mechi za SIMBA na YANGA
NA TUTASHINDA ZOTEEEEE LABDA UACHE NDO TUTAFUNGWA....MARK MY WORDS...
karibu sana...
 
naomba unipe maelezo ya kina nani ni mmiliki wa timu ya SBS anaetambulika na TFF achana na yule mnaemdhani kila siku.
Leta ushahidi kuwa mmiliki wa namungo ni waziri mkuu?

Kama namungo ni tawi la simba kwanini simba hajashinda misimu miwili mfululizo majaliwa stadium?
 
katika mwendelezo wa lLeague ya NBC PL, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:15 jioni

Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili.
Hivi hii mechi ipo kweli! Mbona kama mashabiki wa Simba wameususa huu uzi! Yaani hakuna shamrashamra!! Au matokeo tayari yanajulikana?
 
Hii droo imekaa poa sana, refa akileta mauza uza kama kawaida yao Namungo wasikubali wamgawane maana mzaha mzaha kama hivi timu zinashuka daraja kwa ujinga za marefa, timu zinawachekea tu marefa wakiibeba kolowizard na wao kushuka daraja pointi tatu muhimu sana!
 
Hii droo imekaa poa, refa akileta mauza uza Namungo wamgawane maana mzaha mzaha timu zinashuka daraja wanawachekea tu marefa wakiibeba kolowizard
kabla ya tarehe march, 8 simba atakuwa nyuma ya yanga poiti moja. Leo ni miongoni mwa meche ngumu ya ushindani. Lolote liwakute hawa kolo.
 
Tumebishana sana jana baadae ikabidi nikae tu kimya maana kila mtu akawa ananishambulia Mimi nikajiuliza tu swali mbona ni rahisi tu kujua ratiba kupitia Instagram pages za Azam Tv, timu husika na hata bodi ya ligi, kwanini mtu anakua na haraka ya kuja kupost bila kujirudhisha kwanza?!, Hilo nalo hadi tusubiri wachambuzi kweli?!...end of the day uzi wa hiyo mechi ukafutwa nadhani walijua kuna kitu hakipo sawa
Hili nalo mkalitazame....
 
katika mwendelezo wa lLeague ya NBC PL, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:15 jioni

Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili.
Holoholo umeamua kuwa mnyama?

Karibu unyamani huku hakunaga cha kuhonga kina Kayoko
 
Back
Top Bottom