FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

Holoholo umeamua kuwa mnyama?

Karibu unyamani huku hakunaga cha kuhonga kina Kayoko
ukifuatili uzi wangu tu unagundua kuwa nimeisemea vibaya simba. Eti,mabingwa watetezi wa kombe la mapinduzi,na adui muombee njaa hapo nitakuwa nimehamia SIMBA?
 
HAYA SIMU ZIITE WALIONUNA MOYO UPATE MOTO WAWATAFUTE WENYEWE NA WAFANYE VILE WEWE UNATAKA CHEMSHA MAJI YACHEMKEE CHUKUA KARATASI ANDIKA JINA LA MTU UNAETAKA AKUTAFUTE MARA SABA KWENYE KARATASI, LIWEKE NDANI YA HIYO SUFURIA WEKA SUKARI VIJIKO VITATU KULETA RADHA YA UPENDO WEKA MDALASINI KUMVUTA MOYO KOROGA NA KIJIKO HUKU UNATAJA JINA LAKE MARASABA, IPUA HAYO MAJI KAOGEE ATAKUTAFUTAA MWENYEWE KAMA JINA LAKE LINAVYOCHEMKA
NA MOYO WAKE UNAPATA MOTO JUU YAKOO ATAPIGAA TUU NA
OUT ATAKUTOA TU
FANYA HIVYO SIKU TATU MFULULIZO
ANGALIZO MFANYIE MTU UNAEMPENDA NA ANA HERA AKUTAFUTEE, KAMA UMPENDI NA HANA HERA BORA UCHEMSHE HAYO MAJI UMVIZIE ANAPITA UMWAGIE TAKONI TAKOO LIUMUKEE😂😂😂

By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀🔥🔥
 
IMG_5345.jpeg
 
Naamini Sana braza mchawi zile njia zote zimezaa matunda kabisa
HAYA SIMU ZIITE WALIONUNA MOYO UPATE MOTO WAWATAFUTE WENYEWE NA WAFANYE VILE WEWE UNATAKA CHEMSHA MAJI YACHEMKEE CHUKUA KARATASI ANDIKA JINA LA MTU UNAETAKA AKUTAFUTE MARA SABA KWENYE KARATASI, LIWEKE NDANI YA HIYO SUFURIA WEKA SUKARI VIJIKO VITATU KULETA RADHA YA UPENDO WEKA MDALASINI KUMVUTA MOYO KOROGA NA KIJIKO HUKU UNATAJA JINA LAKE MARASABA, IPUA HAYO MAJI KAOGEE ATAKUTAFUTAA MWENYEWE KAMA JINA LAKE LINAVYOCHEMKA
NA MOYO WAKE UNAPATA MOTO JUU YAKOO ATAPIGAA TUU NA
OUT ATAKUTOA TU
FANYA HIVYO SIKU TATU MFULULIZO
ANGALIZO MFANYIE MTU UNAEMPENDA NA ANA HERA AKUTAFUTEE, KAMA UMPENDI NA HANA HERA BORA UCHEMSHE HAYO MAJI UMVIZIE ANAPITA UMWAGIE TAKONI TAKOO LIUMUKEE😂😂😂

By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀🔥🔥
 
Leo nataka kushuhudia kwa macho yangu maigizo ya Bongo muvi. Yaani Mgunda huyu huyu kocha wetu wa akiba, akubali timu yetu kufungwa! Hata sare tu haipo kwenye mechi ya leo.

Kwa wale wazee wa kubet, hakika leo ni siku yenu ya kuvuna hela. Mpe Simba mazima hata milioni 2. Na hutojutia.
GSM kama mdhamini hawezi kukubali hilo litokee kabisa ndio maana amewaahidi milioni 50 iwapo wataifunga Simba
 

Attachments

  • Screenshot_20250219-104542.png
    Screenshot_20250219-104542.png
    936.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom