FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

Kwa namna NAMUNGO inavyocheza defensive game ...
HII mech ni ngumu sana kwa SIMBA
 
Reactions: Tsh
Unless SIMBA iamue kucheza kwa kasi
 
Hii mechi imewakataa Ngoma na Janshalewa. Wakiendelea na hii game, Simba itapata shida.
 
Kapombe
Chasambi
Kibu kama yupo
Ade....
Wafungajiw a leo
 
Huyu mwamuzi kuna timu anaibeba bila hata chembe ya aibu!! Hivi hizi takataka huwa zinaokotwa wapi kuchezesha mechi za timu moja tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…