princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Kakosaaa😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie ni nani nikatae Mkuu. 😂#UbayaUbwela
Tusi umelisikia mwenyewe au sioo.Wakati mwingine unasoma comments mpaka unafikiri kuna machizi wanaadika humu. Refa katukanwa unataka afanye nini kama sio kadi. Mchezaji kashikwa mkono mpaka kaangushwa unataka refa afanyaje. Ficheni upuuzi wenu
Angelikuwa kakosa Ki Aziz maneno yangelikuwa mengiiiAteba kakosa.
Hajautendea haki ubwela
Mie nakusalimia tu Mkuu.Tusi umelisikia mwenyewe au sioo.
HahahaAngelikuwa kakosa Ki Aziz maneno yangelikuwa mengiii
Kwahiyo mtu asukumwe kwenye box (penalty ya 2) namna ile refa apete tu kwakuwa Namungo wana mdomo?Refa hapa hatakiwi kulaumiwa kabisa, muamala wenu ameutendea kazi.
Dah kweli hayo ni mahaba vip na ile red card Azam wamerudia zaidi ya mara tatu,kweli mtu chake.Kwahiyo mtu asukumwe kwenye box (penalty ya 2) namna ile refa apete tu kwakuwa Namungo wana mdomo?
Mkuu unataka kusema kwamba ile haikuwa penalty?Penalti zetu tunazo na tunatamba nazo. Lol