Watajuta Namungo[emoji35][emoji34][emoji35][emoji34]ni furaha ya muda tuuu45+2'
Kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Majaliwa, ambapo Namungo wapo mbele kwa bao la kuongoza.
Namungo FC 1-0 Simba SC
Tubet ila sina hela nina hirizi ya chumauleteUtabiri unapiga kona...mbona sijawahi ona
So hata ushindi uliotabiri leo kunauwezekano hujamaanisha leo?
Mimi nilisha bet before ku simba anashinda goli mbiliTubet ila sina hela nina hirizi ya chumaulete
Tuanze upyaMimi nilisha bet before ku simba anashinda goli mbili
Leo vipi mbona unaccoment vimbwanga tu,au K-Vant bado ipo kumkichwa?[emoji23][emoji23]Tubet ila sina hela nina hirizi ya chumaulete
Mpira ni dk 90Wengi hawaamini
Wengi watashangaa
Lakini ukweli Namungo anaongoza kwa Goli moja dhidi.ya Mnyama Simba
Mi nasimama pale palw pa goli 2Tuanze upya
Nipo mkuu,kazi inaendelea kwa NamungoMkuu, habari za mafichoni?
Wachome,,,wachome,,,wachome wachomeke.Namungo moto mliouwasha ... Utawachoma wenyewe..niko kaziniView attachment 1801449
Tulia dk 45 zingine zajaMpapaso square kwa Mikia
Huku tunakamilisha ratiba tu, Mnyama bingwa bado maana ana mechi kama zoteNipo mkuu,kazi inaendelea kwa Namungo
Second half meza inapinduka mapema sana,ni bora ujisalimishe mapemaa.Nipo mkuu,kazi inaendelea kwa Namungo
Muda unasonga muda hausubiri mtu.Tunashinda hii game tuwe watulivu tu!!
Ruangwa wachawi sanaa kuleWengi hawaamini
Wengi wanashangaa
Wengi Watabisha
Wengi Watahoji wakitaka Ushahidi
Wengi watasema ni hujuma
Lakini ukweli Namungo wanaongoza kwa Goli moja dhidi ya Mnyama Simba
Maoni yenu