Imagine pisi kali halafu unaitwa dundukaz it's very disgraceful..Mdada mzuri halafu unashabikia simba, shame on you!
kumbe hili tatizo ni mtambuka? nilijua ni Mimi tu sioni pichaHivi NI kweli moderators wa JF wameshindwa kurekebisa tatizo la picha kuonekana...???
Tupo Dada tumekufa Kiume. 🤣🤣🤣Wanathiiiiimbaaaa!!
Kunywa maji mengi husaidia kupunguza hasiraVile vishabiki uchwara utaviona Simba ikidroo au kufungwa....ushabiki maandaazi ushabiki uchwara...
Hutaki!??Gemu imekiwsha jmn
Nimecheka kuna mtu kasema wamedraw kiume eti. Teh teh. 🤣Nimesahau wafa kiume fc 😂
Tuliaa..Vile vishabiki uchwara utaviona Simba ikidroo au kufungwa....ushabiki maandaazi ushabiki uchwara...
Hahahaaa. Noma sana bestie.Lion Drop dead like men mweee kilikuja na meli namaanisha chiiiimbaaa tumedondoka kiumeeeee kimwanaume vileee
🤣🤣🤣🤣🤣Tupo Dada tumekufa Kiume. 🤣🤣🤣
Ni kweli hawa simba na hiyo kiume yao watafika mbali😂Nimecheka kuna mtu kasema wamedraw kiume eti. Teh teh. 🤣
Oooh! Siku ingine niite na mie nikusaidie tupalizi wote.Mvua hizi mtani niko shamba nafanya palizi