makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Namsubiri ajichanganye.. nipo kwenye kona nimejibanza na rungu la kipepeWw ni mjomba akee...kolo ni mjombaaa...
Utopolo ni utupu hahahahhaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namsubiri ajichanganye.. nipo kwenye kona nimejibanza na rungu la kipepeWw ni mjomba akee...kolo ni mjombaaa...
Utopolo ni utupu hahahahhaha
Mmepata point moja halafu mbona sio muhimu sana, nguvu wekezeni FA maana huku mlishapotea. Angalau mfute machozi kombe la azam asfcHivi hatujapata hata point mtani?.
Hatujapotea nyie mtadroo mechi 2 na mtapigwa mojaMmepata point moja halafu mbona sio muhimu sana, nguvu wekezeni FA maana huku mlishapotea. Angalau mfute machozi kombe la azam asfc
Walitumia nguvu nyingi sana kwa warabu hawakujua kuna Kichuya pia wanawangojaMmepata point moja halafu mbona sio muhimu sana, nguvu wekezeni FA maana huku mlishapotea. Angalau mfute machozi kombe la azam asfc
Kesho mnakandwa na singidaHahahaaa! Lol.
Nguvu Gani walizotumia kwa mwarabu Ilhali hawakupata on target hata moja?Walitumia nguvu nyingi sana kwa warabu hawakujua kuna Kichuya pia wanawangoja
Akifukuzwa gadiel tunguli atabeba nanWachezaji wa kufukuza Simba ni Gadiel Michael, Onyango, Kennedy. Sakho na Banda wapewe masharti maalum ya kuacha utoto
MmeanzaKesho mnakandwa na singida
Mlimuimba sana ile siku yake ya kwanza Ukolini na kupiga hatitiriki.Saido sijui na kuherehere gn hajatuliaa
SureBaleke angeanza hii ligi toka mwanzoni angekuwa mshindani mzuri wa Mzee wa mitetemo.
Tulia [emoji169][emoji28][emoji172][emoji1787]Vile vishabiki uchwara utaviona Simba ikidroo au kufungwa....ushabiki maandaazi ushabiki uchwara...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]Leo igizo limegoma
Sio n wote wanaotumia appkumbe hili tatizo ni mtambuka? nilijua ni Mimi tu sioni picha
Mmesha anza.Huyu ndie kocha ambae haoni umuhimu wa phiri na mkude kwenye timu yake beki ya onyango na Kennedy halafu kiungo unamuweka Nyoni na kapama,kapama ambae mpira mguuni ni kama unamoto,