LalaBaada ya Simba KUFA KIUME huko MOROCCO na mwili wake kusafirishwa Hadi nchini Tanzania, na kamati ya mazishi kukubaliana akazikwe mkoani Lindi kwa ndugu zake. Hatimaye hapo Jana, mazishi yalifanyika na KUZIKWA KIUME.
Kwake yeye kila goti litapigwa
Naomba kuwasilisha
Mkuu nipo shift ya usiku hapa mwabomba, tunakomaa na maduaraLala
AaahaasssBaada ya Simba KUFA KIUME huko MOROCCO na mwili wake kusafirishwa Hadi nchini Tanzania, na kamati ya mazishi kukubaliana akazikwe mkoani Lindi kwa ndugu zake. Hatimaye hapo Jana, mazishi yalifanyika na KUZIKWA KIUME.
Kwake yeye kila goti litapigwa
Naomba kuwasilisha
AaaahaaaLala
Tusubiri tuone jirani.Kesho mnakandwa na singida
Hahahaaa! Lol.π€£πππ π
Nimesimama kwa muda mtani nitarudi fainali ya Azam Sports CC
ππ ππ
Upo mamito! Huwa nafurahia utani wako ulivyo! I wish watu wote wangalikuwa na utani kama weweHahahaaa! Lol.
Haya Mtani ikitokea mukafuzu tutakutana. π€£π€£
Ulishapigwa ngumi na mtu muoga?Hee hadi JINI Beleke na Saidoo?
Sijawahi.Ulishapigwa ngumi na mtu muoga?
π π π majedwali yanawaumiza vichwa..Wewe mtagi hata story ya MAJEDWALI asee π€π ππ
Nipo Mkuu. Shukran. ππUpo mamito! Huwa nafurahia utani wako ulivyo! I wish watu wote wangalikuwa na utani kama wewe