FT| NBC | Namungo 1-1 Simba Sc | Majaliwa Stadium | Mei 3, 2023

FT| NBC | Namungo 1-1 Simba Sc | Majaliwa Stadium | Mei 3, 2023

Baada ya Simba KUFA KIUME huko MOROCCO na mwili wake kusafirishwa Hadi nchini Tanzania, na kamati ya mazishi kukubaliana akazikwe mkoani Lindi kwa ndugu zake. Hatimaye hapo Jana, mazishi yalifanyika na KUZIKWA KIUME.

Kwake yeye kila goti litapigwa

Naomba kuwasilisha
Lala
 
Baada ya Simba KUFA KIUME huko MOROCCO na mwili wake kusafirishwa Hadi nchini Tanzania, na kamati ya mazishi kukubaliana akazikwe mkoani Lindi kwa ndugu zake. Hatimaye hapo Jana, mazishi yalifanyika na KUZIKWA KIUME.

Kwake yeye kila goti litapigwa

Naomba kuwasilisha
Aaahaasss
 
Kinacho wapa Yanga matokeo ni kujituma muda wote.

Baada ya kukosa Kombe a ligi kwa miaka minne, Yanga wamesajiri kwa umakini na wanajituma kila mechi na kupata matokeo.
Kwa hili nawapa pongezi na wanaenda kuchukua kombe la Shirikisho.
Simba wanacheza kwa kujiamini sana na hawajitumi.
Kuna wachezaji Simba wanakula mshahala wa bure kabisa na wakiingia kucheza hawana maajabu.

Kamati ya usajiri ya Simba Mungu anaiona.
 
🤣😂😃😅😂
Nimesimama kwa muda mtani nitarudi fainali ya Azam Sports CC
😂😅😄😎
Hahahaaa! Lol.

Haya Mtani ikitokea mukafuzu tutakutana. 🤣🤣
 
Upo mamito! Huwa nafurahia utani wako ulivyo! I wish watu wote wangalikuwa na utani kama wewe
Nipo Mkuu. Shukran. 🙏🙏

Saa hii tunasubiria points zetu tatu hapo 16:00hrs kutoka kwa Singida Big Stars.
 
Naomba kutangaza kwamba kwa namna mpira ulivyochezwa huko ugenini Ruangwa na kwa namna wachezaji wetu walivyopambana na kujitoa kiume, Kwakweli sina ninachowadai, Wamepambana sana.

Ninawasihi mashabiki wenzangu twendeni Airport tukawapokee mashujaa wetu hawa, Kwani wamepambana kiume yaani kufa kupona.

Simba Guvu Moya
 
Back
Top Bottom