FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

Uanze na nani wakat mmeshavunja masharti ya mganga wenu wa kutumia jezi nyeusi
Mtachapika mpaka maji muite mma
Kama uganga ndio unacheza Simba ambao Kwa mujibu wa CAf ndio timu inayo ongoza Kwa ushirikina Afrika ingekua na kikombe chochote Cha Caf.
Mpira ni uwekezaji, tunakwenda kuanza Moja na tutavunja un beaten yetu.
 
Makolo Yanga imefungwa leo,utosikia anabebeshwa lawama mtu yoyote maana tunajua nini maana ya football,kutokujua mpira kwenu leo hii mnataka tufanane kwa kuanza kuwataja kina aziz ki,aziz ki au wengine uliowataja kwenye liarticle wao ni akina nani hadi ifikie kipindi iwe ajabu wanapofungwa!unaniuliza nilikua wapi kipindi kolos inabutuliwa sikusema maneno sasa mimi makolo inanihusu 😀 na ule ujinga wenu mkifungwa utasikia matola out au babra tuachie makolo yetu!
Kwani we hupati notifications za nyuzi mpya zinazoanziahwa hapa na mashabiki wa Uto?

Mwenzako kasema kufungwa kwa leo kumesababishwa na kocha Nabi kuamuanzisha benchi Azizi Ki afu we unasema hamna anayelaumu

Usitake kudanganya umma kuwa matokeo haya wewe hayakuumi

Mlitoa sare na Club Africain lakini mlipagawa utadhani mmeshushwa daraja

Leo hii mmefungwa eti unajidai mmeichukulia hiyo kama kitu cha kawaida.

Nani asiyewajua ataaamini hiyo siasa?
 
Ihefu tumefungwa goli la offside, tumenyimwa penati ya wazi kabisa.
Tuka amua tupambane ninafsi.

Kumbe hizo unbitten ni za mchongo tu basi.
Na bahasha.
Marefa ni wa Yanga.
Bakini na marefa wenu.
 
Azam tusipobeba ubingwa mniite Anifa bonge
 
Haya haya...kampeleka monica Ihefu kweny bonde la mpunga..muda si mrefu kampa katubu wake...leo hii watu wamepanda hadi ndege kukipeleka ihefu
 
Kama uganga ndio unacheza Simba ambao Kwa mujibu wa CAf ndio timu inayo ongoza Kwa ushirikina Afrika ingekua na kikombe chochote Cha Caf.
Mpira ni uwekezaji, tunakwenda kuanza Moja na tutavunja un beaten yetu.
Thubutu yenu. Ihefu keshachomoa mwiko nyuma sasa subirini mizingo iwashukie. Hamtakaa muwasahau Ihefu.
 
Haya haya...kampeleka monica Ihefu kweny bonde la mpunga..muda si mrefu kampa katubu wake...leo hii watu wamepanda hadi ndege kukipeleka ihefu
Sio monica ni Joyce
 
Mbona natetemekaaa
IMG-20221129-WA0011.jpg
IMG-20221129-WA0012.jpg
 
Kama uganga ndio unacheza Simba ambao Kwa mujibu wa CAf ndio timu inayo ongoza Kwa ushirikina Afrika ingekua na kikombe chochote Cha Caf.
Mpira ni uwekezaji, tunakwenda kuanza Moja na tutavunja un beaten yetu.
Moja ya kuchora chini vijana washavunja kibeleko hicho
 
Back
Top Bottom