redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Kama uganga ndio unacheza Simba ambao Kwa mujibu wa CAf ndio timu inayo ongoza Kwa ushirikina Afrika ingekua na kikombe chochote Cha Caf.Uanze na nani wakat mmeshavunja masharti ya mganga wenu wa kutumia jezi nyeusi
Mtachapika mpaka maji muite mma
Mpira ni uwekezaji, tunakwenda kuanza Moja na tutavunja un beaten yetu.