Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
Hizi timu ndogo ni error-prone, watakaza lkn utashangaa Uto wanafunga goli jepesi tu kama la kwanza.Leo kipigo lazima kiwahusu ,all the best polisi TZ
Bibie twenzetu tu pm maana Hawa mabwege hawataki kusema matokeo.ngapi huko ?
Ngapi ngapi?
Police 2 Yanga 1Bibie twenzetu tu pm maana Hawa mabwege hawataki kusema matokeo.
Dakika ya ngapi?Police 2 Yanga 1
81Dakika ya ngapi?
Labda wa polisi kupigwa sio kushindaHuu uzi ni wa polisi?
Yanga mkuje hapa mabingwa wa jangwani mfyuuu zenu!
Dk ya 72
Ni suala la muda tu tunashindaYanga shindeni aisee
Anza kujiita mapema tu maana hii mechi yanga anashindaYanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale
[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
Ngapi?Anza kujiita mapema tu maana hii mechi yanga anashinda
Au ana shinda njaaAnza kujiita mapema tu maana hii mechi yanga anashinda
Mpira ni mbovu sana sababu ya uwanja
Huna hata aibu kumsingizia uwanjaMpira ni mbovu sana sababu ya uwanja