Labda Africa ya kijijini kwenu bloanguAfrica nzima hakuna striker kama DUBE.
Dube leo ana goal sio chini ya 2Kila la kheri Young Africans 🔰
Sema vizuri...Haiwezi kuwa bahati mbaya, mara 2. Khomeiny ni takataka iliyokaa golini
Leo siku yakeDube leo ana goal sio chini ya 2
Pongezi kwa MobetoAzizi Ki ana presha kubwa sana ya kufunga, imemuathiri hata kwenye kutoa pasi
Bado hamjasemaMods mnalala sana.. matokeo ni 3:2
Yanga Leo mtatuumiza kwa jinsi tunavyominya mananii yetu haya jamani.
3-2 na kipa haeleweki?
Yanga Leo mtatuumiza kwa jinsi tunavyominya mananii yetu haya jamani.
3-2 na kipa haeleweki?
MECHI DUME KWELIKWELI
Kimya kimya.. hatutaki kuwaudhi Uto.Mods mnalala sana.. matokeo ni 3:2
Aaghh wapi, mshapigwa kimoja tayari hukoLeo mashujaa watajuta kuacha chupi upande
Dube ana ugwadu sana kawapakia mkongo
Wamepigwa Mbili sio MojaAaghh wapi, mshapigwa kimoja tayari huko