Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Dodoma Jiji IPO Super kapu.Sawa shangazi.
Unaona ufahari kucheza na KMC kweli ambayo hata kwenye shirikisho haipo?
Hauoni aibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dodoma Jiji IPO Super kapu.Sawa shangazi.
Unaona ufahari kucheza na KMC kweli ambayo hata kwenye shirikisho haipo?
Hauoni aibu?
Scouting ndiyo inafanya wachezaji wa timu pinzani wajilegeze?Hongera scouting ya YANGA,... kama pia mlimkosakosa NGOMA bas mmeajiri i SCOUTING maridadi...
Achana na huyo TAHIRA ajui hii ligi Kwahiyo Dodoma Jiji ndo ipo shirikisho [emoji2957]Kufaaaaaaaaaaa
Noona mnaendelea mlipo ishia msimu uliopita na misemo yenu hapa bado........ mbona.Nguvu ya miamala
Sawa. Tulikufa kwenye ngao ya jamii Tanga.Kufaaaaaaaaaaa
KMC wameingia kwenye mfumo wa Yanga.Sawa. Hata ngao mlisema hivyo hivyo
KMC ni timu bora kuliko timu zote Tanzania. Ukiifunga KMC basi hakuna timu yoyote itakufunga hata Al hilal unaifunga kirahisi.
Kunywa maji kolo usije ukatufia hatuna majanvi ya kuwapa wageni [emoji28][emoji1787][emoji1787]Sawa. Hata ngao mlisema hivyo hivyo
KMC ni timu bora kuliko timu zote Tanzania. Ukiifunga KMC basi hakuna timu yoyote itakufunga hata Al hilal unaifunga kirahisi.
Tuashum ipo Shirikisho Akili zake ndo zimeishia leo uyo [emoji1787][emoji1787]Achana na huyo TAHIRA ajui hii ligi Kwahiyo Dodoma Jiji ndo ipo shirikisho [emoji2957]
Sawa wewe mwenyewe akili. Juzi mlikuwa Djibout mnacheza na Asas.Achana na huyo TAHIRA ajui hii ligi Kwahiyo Dodoma Jiji ndo ipo shirikisho [emoji2957]
Asante na bado HUJASEMA [emoji28][emoji91]Sawa wewe mwenyewe akili. Juzi mlikuwa Djibout mnacheza na Asas.
Hongera!
Chezeeni mpira, umilikini mpira, utawaleni mpira ili yeyote kati yenu aweze kufungaKocha alishaongea mapema anataka mpira safi na magoli na ndicho kinachotokea.
Mambo ya kumtegemea Mayele hayatakiwi wachezaji wote uwanjani mwenye nafasi anapaswa kufunga goli.
Ukitegemea mfungaji mmoja akishawekwa mfukoni mmekwisha.
Huu ndio wastani mzuri wa wafungaji magoli kwenye mechi unaotakiwa siku zote.
Sawa. UtopoloKunywa maji kolo usije ukatufia hatuna majanvi ya kuwapa wageni [emoji28][emoji1787][emoji1787]
Andika bila kulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957]Sawa. Utopolo
Nishakufa kwenye ngao ya jamii Tanga.
Utopolo ni bingwa wa ngao ya hisani Tanga.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hongereni
Aseeeh we jamaa unaijua keshoAnakandwa mtu bila huruma
Yanga KMC
5 0
Nyuzi zake zote hua zinamsaliti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]YULE MWASIBU JF ANASEMAJE BADO TUMEPATA HASARA AU KATENGUA KAULI