Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Mrembo wa Makolo tulia tuwakande hawa KMCUmeanza fujo?
Mkiongea muweke na maneno ya akiba.
😂😂😂😂Yanga balaa mtani mtakubali Tu [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawapendi kufanya mistakes, pressing ya Yanga sio ya kitotoDefiance mistakes zimekuwa nyingi sana
7-0 leo[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nguvu ya miamala
Kaa kwa kutulia, mwenyewe unajua mlivyochoropoka kiaina.La tanooo.
KMc wehu sana
Makolo tuliaHii mechi Yanga watakuwa wameinunua!
Alisikika kichaa mmoja akisema hayo.
Kwa leo wanaSimba tutulie tu, watani wanajaribu mitambo yao ya mabomu kwa kurusha mabomu mochwari.
Usichafue uzi ubao umependezaNguvu ya miamala
[emoji1787] Mtasem yote adi akili zifike mwishoHii mechi Yanga watakuwa wameinunua!
Alisikika kichaa mmoja akisema hayo.
Kwa leo wanaSimba tutulie tu, watani wanajaribu mitambo yao ya mabomu kwa kurusha mabomu mochwari.
Sawa shangazi.We Mrembo wa Makolo tulia tuwakande hawa KMC
5-0 dakika za lala salamaMmepiga bomu mochwari
We Mrembo wa Makolo tulia tuwakande hawa KMC kwanzaSawa shangazi.
Unaona ufahari kucheza na KMC kweli ambayo hata kwenye shirikisho haipo?
Hauoni aibu?
Kocha alishaongea mapema anataka mpira safi na magoli na ndicho kinachotokea.Ndugu zangu wapendwa siwaoni hapa.
Kalpana upo wapi?
KufaaaaaaaaaaaSawa shangazi.
Unaona ufahari kucheza na KMC kweli ambayo hata kwenye shirikisho haipo?
Hauoni aibu?
Sawa. Hata ngao mlisema hivyo hivyoMabao 5
Pass 2346
On target 12
Off target 22 [emoji2957]
Clean sheet [emoji736]
Yanga bingwa 2023/24 [emoji169][emoji172]