The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Hakuna timu hapa Tz imewahi kuwa bora kama Yanga ya Nabi na hii ya Gamondi.Yanga hii ilivyo aggressive inanikumbusha Simba ya uchebe
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna timu hapa Tz imewahi kuwa bora kama Yanga ya Nabi na hii ya Gamondi.Yanga hii ilivyo aggressive inanikumbusha Simba ya uchebe
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Sasa kipindi Yanga anacheza fainali ,Simba alikuwa anacheza na nani?
Ila na kumbuka nilisahau ,mlikuwa mnacheza nusu Fainal ya Azam Confederation na Azam FC.
Sasa kama Confederation ingekuwa ndogo mngejidhalilisha kwa kubeba mikuni na viberiti na kwenda kuota moto katikati ya uwanja. Wewe sema nyie uwezo hamna na ndio maana michuano yote ya CAF mnaishia robo.
We endelea kucheza ,ila sisi tukivuka makundi CAF ujue nusu au fainali hatuishii robo kama nyie na wala hatufanyi upuuzi mlioufanya nyinyi South.
Treni limekatika breki hili
Kwa Yanga hii....!Kipindi hicho Simba anaota moto nyie mlikuwa mnacheza shirikisho au Champion league?
😁😁😁
Mepangiwa kucheza CAF champion league pamoja na Simba. Yanga alicheza mechi mbili tu ya Zalan na Al hilal. Akatolewa. Simba amecheza mpaka robo fainali CAF Champion league.
Vile km yale ya zalan kwa Asas walikuwa hawana uwanja mechi zote home na away mecheza hapa hapa bongo. Juzi mecheza Djibout
😁😁😁😁
Wacha nichekee. Wanajiita wanaume. 😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😂😀😀😀😀😀😀😀😀😁😁😁😁😂😂😂😂😂
kwa akili ya utopolo wanafikiri Confederation ni kubwa kuliko Champion League.
wanaume wameshindwa kucheza Caf champion league wanacheza kombe la washindwa.
Kwahiyo na nyinyi wanaume mtacheza African Super Cup?
ha ha ha ha ha ha ha
Aliyeita utopolo hakukosea
Wanaume wote wamecheza CAF Champion League na wanaume washoka wanacheza African Super Cup
Kama alivyomuonea manulaAziz anavionea vitu vidogo vidogo
Ukitaka Kujua kuwa Goli tano Nyingi zigeuze ziwe Pakiti za Chumvi alafu zilambe..!![emoji23]
Leo Yanga wamenifurahisha sanaUkitaka Kujua kuwa Goli tano Nyingi zigeuze ziwe Pakiti za Chumvi alafu zilambe..!![emoji23]
Ugwadu gan tenaaYanga hii INA ugwadu sana watu wajiandae
Sept 7, 2022Sawa shangazi.
Unaona ufahari kucheza na KMC kweli ambayo hata kwenye shirikisho haipo?
Hauoni aibu?
Usijifariji ndugu.Sasa kipindi Yanga anacheza fainali ,Simba alikuwa anacheza na nani?
Ila na kumbuka nilisahau ,mlikuwa mnacheza nusu Fainal ya Azam Confederation na Azam FC.
Sasa kama Confederation ingekuwa ndogo mngejidhalilisha kwa kubeba mikuni na viberiti na kwenda kuota moto katikati ya uwanja. Wewe sema nyie uwezo hamna na ndio maana michuano yote ya CAF mnaishia robo.
We endelea kucheza ,ila sisi tukivuka makundi CAF ujue nusu au fainali hatuishii robo kama nyie na wala hatufanyi upuuzi mlioufanya nyinyi South.
Ni kweli alikuwa ligi ya mabigwa. Mwezi wa 10 tunacheza naye African Super cupSept 7, 2022
Simba 2
Kmc 2
Kipind hicho nadhan kmc walikuwa ligi ya mabingwa afrika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani wewe Confederation ile mpaka ukaota moto katikati ya uwanja si ulipigwa tatu moja kwa Mkapa na wacheza Makirikiri wa Botswana,ndio ukapewa nafasi nyingineConfederation matokeo yake ukalizalilisha taifa kwa kuota moto.Usijifariji ndugu.
Simba hajacheza Confederation.
Yanga alicheza CAF Champion akashindwa league na akaenda Confederation.
Ukicheza na Azam na basi unaona umekuwa sana kimpira?
Kwahiyo kucheza Confederation mpk fainali unaona umemzidi Simba?
Kipindi Yanga anacheza shirikisho fainali Simba anacheza African Super Cup
Kwani Simba Ngao kachukua mikononi kwa nani? Na aliifunga team ipii?Kwa Yanga hii....!
Nina hofu TFF wanaweza kuifungia Yanga miaka 3 kucheza na makolo
Huyu ni MBUMBUMBU hajui chochote achana naeSasa kipindi Yanga anacheza fainali ,Simba alikuwa anacheza na nani?
Ila na kumbuka nilisahau ,mlikuwa mnacheza nusu Fainal ya Azam Confederation na Azam FC.
Sasa kama Confederation ingekuwa ndogo mngejidhalilisha kwa kubeba mikuni na viberiti na kwenda kuota moto katikati ya uwanja. Wewe sema nyie uwezo hamna na ndio maana michuano yote ya CAF mnaishia robo.
We endelea kucheza na kuishia robo,ila sisi tukivuka makundi CAF ujue nusu au fainali hatuishii robo kama nyie na wala hatufanyi upuuzi mlioufanya nyinyi South.
CAF ipi? Uwage unafafanua.Kwani wewe Confederation ile mpaka ukaota moto katikati ya uwanja si ulipigwa tatu moja kwa Mkapa na wacheza Makirikiri wa Botswana,ndio ukapewa nafasi nyingineConfederation matokeo yake ukalizalilisha taifa kwa kuota moto.
Yaah Simba nimemzidi kwani kwa mujibu wa CAF wenyewe kwenye page zao za Social networks na mtangazaji aliyekuwa akitangaza mechi ya fainali ya CAF confederation, wakati yanga ikivaa medali alisema Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kufika fainal za michuano ya CAF.
Ile confederation kipindi Simba anaota moto. Ulikuwa unacheza Champion league au Shirikisho?Kwani wewe Confederation ile mpaka ukaota moto katikati ya uwanja si ulipigwa tatu moja kwa Mkapa na wacheza Makirikiri wa Botswana,ndio ukapewa nafasi nyingineConfederation matokeo yake ukalizalilisha taifa kwa kuota moto.
Yaah Simba nimemzidi kwani kwa mujibu wa CAF wenyewe kwenye page zao za Social networks na mtangazaji aliyekuwa akitangaza mechi ya fainali ya CAF confederation, wakati yanga ikivaa medali alisema Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kufika fainal za michuano ya CAF.