FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

Leo Yanga tumeweka bao 5

NI nyingi atiii

Kama huamini NI nyingi AGIZA CHAPATI TANO ule UONE😂😂😂

6bd2062863c1452384267fc9dfa13fad.jpg
 

Attachments

  • ad47489cb5f54a8ca9e02d45f87f9e96.jpg
    ad47489cb5f54a8ca9e02d45f87f9e96.jpg
    64 KB · Views: 1
Sasa kipindi Yanga anacheza fainali ,Simba alikuwa anacheza na nani?

Ila na kumbuka nilisahau ,mlikuwa mnacheza nusu Fainal ya Azam Confederation na Azam FC.

Sasa kama Confederation ingekuwa ndogo mngejidhalilisha kwa kubeba mikuni na viberiti na kwenda kuota moto katikati ya uwanja. Wewe sema nyie uwezo hamna na ndio maana michuano yote ya CAF mnaishia robo.

We endelea kucheza ,ila sisi tukivuka makundi CAF ujue nusu au fainali hatuishii robo kama nyie na wala hatufanyi upuuzi mlioufanya nyinyi South.

Yaaani tatzo simba walipo pale ndio wanaona wamefika
 
Kipindi hicho Simba anaota moto nyie mlikuwa mnacheza shirikisho au Champion league?
😁😁😁
Mepangiwa kucheza CAF champion league pamoja na Simba. Yanga alicheza mechi mbili tu ya Zalan na Al hilal. Akatolewa. Simba amecheza mpaka robo fainali CAF Champion league.
Vile km yale ya zalan kwa Asas walikuwa hawana uwanja mechi zote home na away mecheza hapa hapa bongo. Juzi mecheza Djibout
😁😁😁😁
Wacha nichekee. Wanajiita wanaume. 😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😂😀😀😀😀😀😀😀😀😁😁😁😁😂😂😂😂😂
kwa akili ya utopolo wanafikiri Confederation ni kubwa kuliko Champion League.
wanaume wameshindwa kucheza Caf champion league wanacheza kombe la washindwa.
Kwahiyo na nyinyi wanaume mtacheza African Super Cup?
ha ha ha ha ha ha ha
Aliyeita utopolo hakukosea
Wanaume wote wamecheza CAF Champion League na wanaume washoka wanacheza African Super Cup
Kwa Yanga hii....!
Nina hofu TFF wanaweza kuifungia Yanga miaka 3 kucheza na makolo
 
Sasa kipindi Yanga anacheza fainali ,Simba alikuwa anacheza na nani?

Ila na kumbuka nilisahau ,mlikuwa mnacheza nusu Fainal ya Azam Confederation na Azam FC.

Sasa kama Confederation ingekuwa ndogo mngejidhalilisha kwa kubeba mikuni na viberiti na kwenda kuota moto katikati ya uwanja. Wewe sema nyie uwezo hamna na ndio maana michuano yote ya CAF mnaishia robo.

We endelea kucheza ,ila sisi tukivuka makundi CAF ujue nusu au fainali hatuishii robo kama nyie na wala hatufanyi upuuzi mlioufanya nyinyi South.
Usijifariji ndugu.
Simba hajacheza Confederation.
Yanga alicheza CAF Champion akashindwa league na akaenda Confederation.
Ukicheza na Azam na basi unaona umekuwa sana kimpira?
Kwahiyo kucheza Confederation mpk fainali unaona umemzidi Simba?
Kipindi Yanga anacheza shirikisho fainali Simba anacheza African Super Cup
 
Sept 7, 2022
Simba 2
Kmc 2

Kipind hicho nadhan kmc walikuwa ligi ya mabingwa afrika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli alikuwa ligi ya mabigwa. Mwezi wa 10 tunacheza naye African Super cup
Yanga alipoifunga KMC alicheza CAF champion league mpk fainali.
Al hilal alifungwa na Yanga 3 na kwao akapigwa mbili bila. Yanga ikaingia kwenye makundi champion league
 
Usijifariji ndugu.
Simba hajacheza Confederation.
Yanga alicheza CAF Champion akashindwa league na akaenda Confederation.
Ukicheza na Azam na basi unaona umekuwa sana kimpira?
Kwahiyo kucheza Confederation mpk fainali unaona umemzidi Simba?
Kipindi Yanga anacheza shirikisho fainali Simba anacheza African Super Cup
Kwani wewe Confederation ile mpaka ukaota moto katikati ya uwanja si ulipigwa tatu moja kwa Mkapa na wacheza Makirikiri wa Botswana,ndio ukapewa nafasi nyingineConfederation matokeo yake ukalizalilisha taifa kwa kuota moto.

Yaah Simba nimemzidi kwani kwa mujibu wa CAF wenyewe kwenye page zao za Social networks na mtangazaji aliyekuwa akitangaza mechi ya fainali ya CAF confederation, wakati yanga ikivaa medali alisema Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kufika fainal za michuano ya CAF.
 
Sasa kipindi Yanga anacheza fainali ,Simba alikuwa anacheza na nani?

Ila na kumbuka nilisahau ,mlikuwa mnacheza nusu Fainal ya Azam Confederation na Azam FC.

Sasa kama Confederation ingekuwa ndogo mngejidhalilisha kwa kubeba mikuni na viberiti na kwenda kuota moto katikati ya uwanja. Wewe sema nyie uwezo hamna na ndio maana michuano yote ya CAF mnaishia robo.

We endelea kucheza na kuishia robo,ila sisi tukivuka makundi CAF ujue nusu au fainali hatuishii robo kama nyie na wala hatufanyi upuuzi mlioufanya nyinyi South.
Huyu ni MBUMBUMBU hajui chochote achana nae
 
Kwani wewe Confederation ile mpaka ukaota moto katikati ya uwanja si ulipigwa tatu moja kwa Mkapa na wacheza Makirikiri wa Botswana,ndio ukapewa nafasi nyingineConfederation matokeo yake ukalizalilisha taifa kwa kuota moto.

Yaah Simba nimemzidi kwani kwa mujibu wa CAF wenyewe kwenye page zao za Social networks na mtangazaji aliyekuwa akitangaza mechi ya fainali ya CAF confederation, wakati yanga ikivaa medali alisema Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kufika fainal za michuano ya CAF.
CAF ipi? Uwage unafafanua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani wewe Confederation ile mpaka ukaota moto katikati ya uwanja si ulipigwa tatu moja kwa Mkapa na wacheza Makirikiri wa Botswana,ndio ukapewa nafasi nyingineConfederation matokeo yake ukalizalilisha taifa kwa kuota moto.

Yaah Simba nimemzidi kwani kwa mujibu wa CAF wenyewe kwenye page zao za Social networks na mtangazaji aliyekuwa akitangaza mechi ya fainali ya CAF confederation, wakati yanga ikivaa medali alisema Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kufika fainal za michuano ya CAF.
Ile confederation kipindi Simba anaota moto. Ulikuwa unacheza Champion league au Shirikisho?
Unajaribu kujilinganisha na Simba lkn bado unapelea.
 
Back
Top Bottom