blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
🥰🥰😅😅Anakandwa mtu bila huruma
Yanga KMC
5 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥰🥰😅😅Anakandwa mtu bila huruma
Yanga KMC
5 0
1. Kipindi Simba inapigwa 3, Yanga alikuwa anacheza kombe gani? Ni mwaka gani?
Simba ilifika robo fainali, yanga kwanini hakufika?
2. Yanga na Simba walipangiwa CAF Champion League. Kwanini Yanga alienda kucheza Shirikisho? Unafikiri Yanga alikuwa mzuri kuliko Simba? Kama Yanga alifanya vizuri kuliko Simba, kwanini Yanga hachezi African super cup?
Ahsante mkuu nataka nifungue kanisa karibu sana🤣🤣🤣🤣🤣Uko vizuri Mkuu.
Magoli ya kununuaUtakuwa na maumivu makali sana
Hahahaha 😆 nataka nifungue kanisa mkuu karibu sanaWe jamaa unafaa kutafutwa tuwe tunakutumia kwenye mikeka yetu
Inatunga kutokea wapi , watu tushatoka msimu uliopita wewe unawaza yaliopitaKipindi hicho Simba anaota moto nyie mlikuwa mnacheza shirikisho au Champion league?
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mepangiwa kucheza CAF champion league pamoja na Simba. Yanga alicheza mechi mbili tu ya Zalan na Al hilal. Akatolewa. Simba amecheza mpaka robo fainali CAF Champion league.
Vile km yale ya zalan kwa Asas walikuwa hawana uwanja mechi zote home na away mecheza hapa hapa bongo. Juzi mecheza Djibout
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wacha nichekee. Wanajiita wanaume. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwa akili ya utopolo wanafikiri Confederation ni kubwa kuliko Champion League.
wanaume wameshindwa kucheza Caf champion league wanacheza kombe la washindwa.
Kwahiyo na nyinyi wanaume mtacheza African Super Cup?
ha ha ha ha ha ha ha
Aliyeita utopolo hakukosea
Wanaume wote wamecheza CAF Champion League na wanaume washoka wanacheza African Super Cup
We nomaaPrediction
Young Africans 5 - 0 KMC
Watu wanajivunia kucheza na mabingwa wenzao CAF champion league na kucheza African Super Cup.(Timu bora zote zipo hapa).Yaah mimi nilikiwa mzuri kuliko wewe kutoka na historia niliyo iweka ambayo ww haukuiweka ulipopewa nafasi baada ya kugongwa tatu moja.
Na ndio maana kuthibitisha hilo kwamba mimi nilikuwa mzuri kuliko ww ,nikachukua ubingwa wa ligi na nikafika fainali ya CAF confederation.
Au ww msimu uliopita unakitu gani cha kujivuna mbele ya Yanga.
Sawa.Inatunga kutokea wapi , watu tushatoka msimu uliopita wewe unawaza yaliopita
Fafanua km ni CL au CF, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nifafanue nini......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuvuka makundi CL sio level zenu, nimekukumbusha mwaka huu mkitolewa hamuendi shirikisho,Mliumia sana kumbe ,nyie si mlipigwa tatu moja na Makirikiri mkapewa nafasi nyingine ya confederation kama tuliyopata sisi matokeo yake mkaota moto katikati ya uwanja na kuchoma pitch ya watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ilifanyajweee?? Umevurugwaaa??Hakuna timu iliyofungwa na Simba kwenye ngao
Magoli ya kununua
Timu zilizofanya vizuri kimataifa zitacheza African Super Cup.Yaah mimi nilikiwa mzuri kuliko wewe kutoka na historia niliyo iweka ambayo ww haukuiweka ulipopewa nafasi baada ya kugongwa tatu moja.
Na ndio maana kuthibitisha hilo kwamba mimi nilikuwa mzuri kuliko ww ,nikachukua ubingwa wa ligi na nikafika fainali ya CAF confederation.
Au ww msimu uliopita unakitu gani cha kujivuna mbele ya Yanga.
Akililia wembe mpe tu
Nisaidie hapaSimba sio mbovu tatizo wanalinganisha na Yanga, lazima ionekane mbovu tu.
Kamuulize babu yako Mgunda mwenye gundu.Nisaidie hapa
Timu zilizofanya vizuri kimataifa zitacheza African Super Cup.
Yanga walicheza shirikisho fainali wakavaa medali.
Kwanini hawapo African Super Cup?
Timu zilizofanya vizuri kimataifa zitacheza African Super Cup.Kamuulize babu yako Mgunda mwenye gundu.
Timu zilizofanya vizuri kimataifa zitacheza African Super Cup.
Yanga walicheza shirikisho fainali wakavaa medali.
Kwanini Yanga hawapo African Super Cup?
Bonanza la kimataifaTimu zilizofanya vizuri kimataifa zitacheza African Super Cup.
Yanga walicheza shirikisho fainali wakavaa medali.
Kwanini Yanga hawapo African Super Cup?