Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
😂😂😂😂 sasa mkuu unataka yavutie vipi sasa magoli ya wanaumenimefika mkuu sema magoli yenyewe hata hayavutii 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 sasa mkuu unataka yavutie vipi sasa magoli ya wanaumenimefika mkuu sema magoli yenyewe hata hayavutii 😀
we ni kmc au yanga? bosssasa mkuu unataka yavutie vipi sasa magoli ya wanaume
Kila timu itakayocheza na yanga lazima waonekane wabovu.hata Simba kule yanga walivyopaki Basi walikuwa wabovuYanga wanacheza kwa kupambana dakika zote 90.
Pia Kocha wao anafanya rotation nzuri sana kwa kuingiza nguvu mpya kila wakati.
Simba hawako vizuri kwenye rotation ya kuingiza nguvu mpya.
Utashangaa Boko anacheza dakika 90 na hana madhara golini na unaachwa tu.
Nawapongeza Yanga kwa ushindi mnono ila KMC ni wabovu sana sana.
Yanga wana asilimia (43%) kwa sasa ya kutwa Ubingwa wa Ligi.
Simba haikufunga goli hata moja ngao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ilifanyajweee?? Umevurugwaaa??
Ni mapema kusema Yanga ya Gamondi ni bora maana wale Wahabeshi walikua wanafika sana golini, ngoja ikutane na Al Merreikh ya Sudan kwenye round ya pili ya CAF ndo tutaipima vizuri Yanga ya Gamondi.Hakuna timu hapa Tz imewahi kuwa bora kama Yanga ya Nabi na hii ya Gamondi.
Mie ni Yanga lialia mkuuwe ni kmc au yanga? boss
We ni kibonde wa SimbaWe Makolo tulieni tuwakune
Tulia wewe tushamkanda KMC subirini zamu yenu November 5 lazima tuwakandeWe ni kibonde wa Simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlimsindikiza USMA hadi mwisho wa safari yake, huna cha kujivunia.Hata kufika final haikuwa sio level zetu, ila leo ndio club ya kwanza kutoka Tanzania kufika fainali michuano ya CAF. Nyie endeleeni kuishia robo.
Yes nataka uhakika, haya taja hapa ni CAF ipi mlifika final.Majibu unayo au unataka uhakika.
Ila ilifunga nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba haikufunga goli hata moja ngao
Ndo maana bossMie ni Yanga lialia mkuu
Ila ilifunga nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye comment zangu zote nimeitaja Confederation.Yes nataka uhakika, haya taja hapa ni CAF ipi mlifika final.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa sisi tulimsindikiza mbona nyie msimu ule mlioota moto kwanini hamku msimdikiza Berkane mpaka fanali,mkaishia robo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlimsindikiza USMA hadi mwisho wa safari yake, huna cha kujivunia.
Sisi tunaishia Robo michuano yote tuliyo shiriki, wee mbna CL hata kuingia Makundi ni shidaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nimekuambia sema CAF ipi ulifika Final, unaficha nn?? Au unaogopaaa??
We hangaika na vilainishi,mpira hujuiIla ilifunga nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna kitu kama hicho.Gamondi sikukuu ya Noeli ataila kwao.
Afadhari sisi tunaishia Robo hadi ambako nyinyi kuingia makundi ni shidaaa, na hapo sijasema kuvukaaa.Sawa sisi tulimsindikiza mbona nyie msimu ule mlioota moto kwanini hamku msimdikiza Berkane mpaka fanali,mkaishia robo.
Nyie hamuheleweki Championship mnaishia robo, confederation mpaka mnaota moto katikati ya uwanja ila bado mkaishia robo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitajie matokeo ya final, Ngao ya hisanii?We hangaika na vilainishi,mpira hujui