makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sawa ngoja tuone kaka.Ally pia huwa anazikamata, usiangalie mechi moja tu ya Wydad
Mungu asaidie mana simba tuna gundu na penat. Na kakolanya yupo vzrTunashinda
🤣
Hata kama zipo, hesabu za mabilioni ulikutana nazo wapi zaidi ya kwenye magenge ya kahawa?Hivi bil 3 kweli mmeziona hapo au........!!
Mungu kasikia dua zaoFainali ikiwa Simba na Yanga ingependeza sana. Hata kama Yanga wanawatamani Singida.
[emoji23][emoji23]Ha ha haaa...
Kocha baada ya kuona ngoma ngumu, akaamua kuwafunga na kuwaziba midomo Mashabiki kwa kumuingiza Phiri.
Kwa kuwabeba au kwa kuwanyonga?Refa katutoa mxhezoni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] kuna watu sahivi roho zinakaribia kuacha mwiliRaha sana ukiangalia penati bila presha.
SaanaaIla simba wana mdomo
Unamaanisha kolo wizards [emoji23]Tanga ina joto ila watu wamejikunyata hatari. [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanathimbaaaaaaTanga ina joto ila watu wamejikunyata hatari. 😂😂
Yah , nimepewa taarifa sasa.Hivi popoma kapigwa ban ?
Maana naona yupo kimya
Timu yako umeionaje ?...Fainali ikiwa Simba na Yanga ingependeza sana. Hata kama Yanga wanawatamani Singida.
Famchezoo,lolote liwakuteTanga ina joto ila watu wamejikunyata hatari. [emoji23][emoji23]