900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
unamkuta msafi kashaoga na kujipuliziaHakuna kitu kitamu kama kumtanguliza demu Lodge😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamkuta msafi kashaoga na kujipuliziaHakuna kitu kitamu kama kumtanguliza demu Lodge😅
Unachokijua uto hakiendani na sheria 18 za soka!! Tulia!! Usiyempenda kaja!! Jumapili unyama mwingi sana pape pale kwenye mshono!! Sishangai kuwa kafungwa singida lakini aliyeumia zadi ni uto!!! anaogopa unyama mwingiiiii!!!!Sisi tunachojuwa lile ni goli halali Singida wamenyimwa kwa dhulma.
Kama mpaka tajiri Mwamedi anawalalamikia kwa dhulma maana yake mmeshindikana.
Kwa uto ni halali!!! kisa wanaogopa unyama mwingi kwenye mshono!!! si unajua mshono wa 2-0 bado haujapona vizuri!!Goli la offside siku hizi ni halali?
Mwongoooo!!! Si useme tu unaogopa unyama mwingi kwenye mshonooooo!!! najua uto hajapona vizuri mshono wa 2-0!!Maamuzi haya yameathiri kiasi kikubwa mpira wetu. Namna hii mpira timu zingine zinakatishwa tamaa kabisa. Maamuzi yale ni aibu kwa mpira wetu. Sijui kwa nini waamuzi kama hawa wasifungiwe maisha?.
Shindeni uwanjani kihalali. Mapema hivi mmeanza kumtumia refa. Kwa mpira wa jana wa kubebwa vile ni aibu. Hata ingekuwa Yanga ndio imebebwa vile bado ningelaani vikali. Yanga ipo tu inawasubiri.Unazi huo unakudanganya!! Namba hazidanganyi, angalia takwimu za mchezo!!. Shoots on target & ball possession & corner kicks!! Kwa kuzingatia takwimu hizi mshindi alikuwa ni mmoja tu, na ndiye huyo kaibuka kidedea!! Usiyempenda kaja!! jitie nguvu tu kukabiliana naye!! utopolo wanaanza kugwaya!!
Ndiyo acha watusubiri: Msiyempenda kaja!! mshono umeshaanza kuwawasha!!! Poleni lakini hakuna jinsi!!Shindeni uwanjani kihalali. Mapema hivi mmeanza kumtumia refa. Kwa mpira wa jana wa kubebwa vile ni aibu. Hata ingekuwa Yanga ndio imebebwa vile bado ningelaani vikali. Yanga ipo tu inawasubiri.
Msala upi jirani
Sikuwepo mtani...
😅😅😅 haya sie hatuna maneno mengi mtaniMsala upi jirani
Ni lazima tukutane na nyie tuwakande
Jumapili usikimbie mtani....Sikuwepo mtani...
Ila kikubwa tunakutana...na msimu huu kombe linakuja msimbazi
Leo ndo leo mtani nimeshaweka bando.. 🤣 🤣Jumapili usikimbie mtani....
Usipokuwepo utani wala haunogi!
Na kombe kuja Msimbazi ni mpaka mpate kocha na kipa mpya 😁
iikawaje Sasa?Singida anatoboa..simba ataangukia pua
Simba aliponea chupu chupuHiikawaje Sasa?
Sawa 😁Na kombe kuja Msimbazi ni mpaka mpate kocha na kipa mpya 😁