FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

Super League ni Mashindano Ya timu Kubwa Barani Afrika..... Endapo ukiona Timu Yako Haipo basi Ujue timu yako ni ndogo Afrika.

Afrika Mashariki na Kati Timu Pekee Kubwa ni Simba
Lazima wewe ni punguani.
Tp Mazembe wapo wapi?
 
Super League ni Mashindano Ya timu Kubwa Barani Afrika..... Endapo ukiona Timu Yako Haipo basi Ujue timu yako ni ndogo Afrika.

Afrika Mashariki na Kati Timu Pekee Kubwa ni Simba
Kwani ukubwa wa timu unapimwaje kama siyo performance ya uwanjani na makombe wanayopeleka makabatini mwao? Huwezi kusema una timu kubwa huku miaka miwili mzima huna kombe lolote hata la Mapinduzi.

On a serious note, check usome press release ya CAF kujua timu zilizoshirki mwaka huu ziliteuliwaje. Mashindano mengine yote washiriki wake wanatokana na performnce yao kwenye ligi zao wakati hiyo ya super league haiko hivyo; inaangalia historia ya miaka mitano iliyopita hata kama wacheazji wote wamestaafu na waliobaki ni makinda tu.
 
Kwa game hii na ya jana, kama simba wasingehijack dili ya ngoma na angeenda utopoloni, tungeteseka mnooo kwa aina ya mpira wa yanga.
Hilo moja, pili simba haina namba 8, mzamiru hamna kitu kabisaaa, kaisha kweli kweli, anapoteza mipira mingi na hapigi pasi za hatari.

Kocha safari inamuita.
Tatizo la kocha ni kama ameanzisha ligi na Chama kugombania Ufame pale Simba!! Mfame pale ni Chama, na kocha naye anautaka ufalme!! Afadhali arudi Mgunda mapema!!
 
Lazima tukubali..
Robertino anakosa ubunifu ktk attacking..
Mwanzo hadi mwisho cjaona creations ya clear chances zaidi ya crossing crossing crossing..
Inaelekea kocha hataki beki zipande!! Mohamed Hussein husaidia sana kwenye kupanda, hata Inonga. Tukubali kwa kocha huyu tumepigwa na kitu kizito kichwani.
 
Nilisoma sehemu kuwa CAF Super league haingalii ubora wa timu leo, bali inaangalia historia ya miaka mitano ilyopita. Ndiyo maana hata Mazembe iliyoloweshwa na Yanga nyumbani na Ugenini imo kwenye hiyo Super league lakini yanga haimo. Lengo lake ni kuzipa pesa za asante timu ambazo ziliingizia CAF hela kwa miaka mitano iliyopita. CAF super league siyo kombe la ubora wa timu

Mkuu unataka kusemaje? Unaikumbuka hata ile super league ya ulaya iliyoshindikana kufanyika walichukua timu zipi?

Timu bora zinakupa mambo mengi zaidi, hebu fikiria labda namungo ndo angekuwa bingwa afu ndo aende super lig.

Lazima tuziheshimu timu bora kwa kipindi fulani, sio rahisi ndio maana nyingine zimeshindwa pamoja na kuwa zilipata nafasi ya kuutengeneza ubora huo.
 
Kwani ukubwa wa timu unapimwaje kama siyo performance ya uwanjani na makombe wanayopeleka makabatini mwao? Huwezi kusema una timu kubwa huku miaka miwili mzima huna kombe lolote hata la Mapinduzi.

On a serious note, check usome press release ya CAF kujua timu zilizoshirki mwaka huu ziliteuliwaje. Mashindano mengine yote washiriki wake wanatokana na performnce yao kwenye ligi zao wakati hiyo ya super league haiko hivyo; inaangalia historia ya miaka mitano iliyopita hata kama wacheazji wote wamestaafu na waliobaki ni makinda tu.

Hizo timu zingine hiyo miaka mitano hazikuwepo? Kama walikuwepo kwa nini wajafikia vigezo?

Kama hawakuwepo, lkni kwenye kuchagua ubora wakajumuishwa basi utakuwa uonezi.

CAF walizingatia ubora sio ubahatishaji ndio maana wameweka “period range’’. Hebu tuambie katika hicho kipindi ni timu gani hazikuwa na nafasi ya kutengeneza ubora?
 
Mimi shda yangu iko kwa kocha wenu, Chiba. Kama mimi niliyesoma kiingereza University of London, simuelewi anaongea nini, hawa wachezaji wetu wahitimu wa st kayumba wanamuelewaje?
 
Screenshot_20230810-221118.jpg
 
Yanga wanajitoa ufahamu aisee. Kwani Coastal Union wakiwafanya nini kwenye fainali mwaka juzi???

Si mlipata kombe kwa penalties?
 
Angalia line 2 alinyoosha flag kabla hata ya mpira kupigwa

Tulikuwa tunamlaumu bure tu refa wawatu
Sisi tunachojuwa lile ni goli halali Singida wamenyimwa kwa dhulma.

Kama mpaka tajiri Mwamedi anawalalamikia kwa dhulma maana yake mmeshindikana.
 
Kwa timu hii iliyobebwa na Madam mkaenda matuta?
Maamuzi haya yameathiri kiasi kikubwa mpira wetu. Namna hii mpira timu zingine zinakatishwa tamaa kabisa. Maamuzi yale ni aibu kwa mpira wetu. Sijui kwa nini waamuzi kama hawa wasifungiwe maisha?.
 
Back
Top Bottom