makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sawa ngoja tuone kaka.Ally pia huwa anazikamata, usiangalie mechi moja tu ya Wydad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ngoja tuone kaka.Ally pia huwa anazikamata, usiangalie mechi moja tu ya Wydad
Mungu asaidie mana simba tuna gundu na penat. Na kakolanya yupo vzrTunashinda
🤣
Hata kama zipo, hesabu za mabilioni ulikutana nazo wapi zaidi ya kwenye magenge ya kahawa?Hivi bil 3 kweli mmeziona hapo au........!!
Mungu kasikia dua zaoFainali ikiwa Simba na Yanga ingependeza sana. Hata kama Yanga wanawatamani Singida.
[emoji23][emoji23]Ha ha haaa...
Kocha baada ya kuona ngoma ngumu, akaamua kuwafunga na kuwaziba midomo Mashabiki kwa kumuingiza Phiri.
Kwa kuwabeba au kwa kuwanyonga?Refa katutoa mxhezoni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] kuna watu sahivi roho zinakaribia kuacha mwiliRaha sana ukiangalia penati bila presha.
SaanaaIla simba wana mdomo
Unamaanisha kolo wizards [emoji23]Tanga ina joto ila watu wamejikunyata hatari. [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanathimbaaaaaaTanga ina joto ila watu wamejikunyata hatari. 😂😂
Yah , nimepewa taarifa sasa.Hivi popoma kapigwa ban ?
Maana naona yupo kimya
Timu yako umeionaje ?...Fainali ikiwa Simba na Yanga ingependeza sana. Hata kama Yanga wanawatamani Singida.
Famchezoo,lolote liwakuteTanga ina joto ila watu wamejikunyata hatari. [emoji23][emoji23]