Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hao hao. 😅😅Unamaanisha kolo wizards [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hao. 😅😅Unamaanisha kolo wizards [emoji23]
MatutaNgap ngap kwan nipo busy huku kibaruan
Told yaSawa ngoja tuone kaka.
Huyu refa mpumbavuu...hyo move ya mwisho mlikuwa mmeendaa...
😂😂🤣🤣🤣🤣
Bado hakosekani mmoja au wawili wa kukosa Penalty upande wa Simba Sc.Kacheza dogo
Ok ok.. hapo sina was was.. Simba anajuaMatuta
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Singida wajinga wametoka pumbafu
Ndio kazi ya mashabiki hiyo yaani kushangilia na kuzomea.Bongo ushabiki bado sana. Yaani hata ligi haijaanza mashabiki wameshaanza kulalamika nye nye nye nye
Yani kama wapigaji watashindwa kutumia hiyo bahati ya Salim kudaka hiyo moja basi watatoka tu, sioni akidaka nyingine.Dogo acheze nyingine